Acha uongo mkuu, kuna sabuni za kuogea sh 5000, 6500, dawa za meno 11,000 lipbam 10,000/= na hiyo ni mifano michache tu. wala sio lazima uchukue hela ya mteja, kama upo serious na biashara na una uhakika na mteja wako kua atanunua why usitumie pesa zako kufanya oda zen ukifikisha kw mteja ndo...