Mkuu haya Mambo yapo mpaka huko Nigeria na unakuta mtoto wa Boss anafall in love na Mlinzi wa Getini au TAJIRI anajifanya ni BEGGER ili apate mwanamke mwenye Mapenzi ya kweli na ndiyo huko wasanii wetu wanakopi hizo Story wao wanachofanya wanazipundupindua tu kisha sisi tunaona ni wabunifu...
Film za YouTube zina majina ya ajabu sana na hii yote nuktokana na Story za kuungaunga matokeo ndiyo kama hayo wanaaamua kuipa Series au Film majina ya kijinga lengo wapate Views
Unajua Story inabeba Title ya kisa Fulani kwenye hiyo Film au Series huenda akawa mtu au jambo fulani lililofanya Kuwepo na migogoro mingi, sasa kwa wasanii wetu wao Title zao ni zakutafutia Viewer
MKE WA BOSS, PENZI LA MTOTO WA BOSI NA DADA WA KAZI....wasanii tumekosa Title za kueleweka matokeo yake tunaweka Title za kipuuzi kwenye film zetu...na hii yote ni kuiga kwingi Tamaduni za wenzetu
Nimekaa vibaya sana Dizzo,nilipokua police nilifikiri kazi ya upolice ni yangu pekeangu, na nikifa nitazikwa na magwanda yangu, krauni langu na pingu zangu, kumbe nilikua najidanganya najichanganya,, nimekamuakamua sana, hakuna cha maana nilichofanya zaidi ya ugimbi sana sana bia na komoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.