Recent content by Mlundilwa Jr

  1. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Chunguza vizuri kwa waliotoboa ZAMANI vs HIVI SASA

    Zamani chai ilikua inanywewa hasubuhi siku hizi chai inanywewa saa sita mcha mpaka saa saba....
  2. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    Naomba namba za simu
  3. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Argentina ni lazima ashinde kombe la dunia, hizi hapa facts za ajabu

    Mkuu nikuweke sawa...2018 Argentina alikutana na France 🇫🇷 ambapo ufaransa alitwaa huo ubingwq 2022 wakakutana tena France 🇫🇷 na Argentina 🇦🇷 ambapo Argentina 🇦🇷 akataa ubingwa....mimi siyo mfuatiliaji wa mpira ila Data za Kombe la Dunia ninazo
  4. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    Mnapatikana wapi mkuu
  5. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Ni lafudhi gani unaipenda katika makabila ya Tanzania?

    Na kimakonde
  6. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu wengi tunaopigia kelele ufisadi, wizi , rushwa. Ni kwamba hatuko kwenye hizo position ndo maana kelele ni Nyingi.

    Ukiwa mzalendo kwenye hii nchi siku zako zakuishi zinahesabika
  7. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya iliyopo nchi kwetu na wenzetu ni hii hapa kwenye kukusanya mawazo

    Sijakuelewa mkuu!!! Yaani Boss Ruge na Mo walikua wanapoka mawazo ya wenzao au walikua wanayachukua na kuyaboresha
  8. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuona!!! jambo la siri likifanyika? lakini ukanyamaza kwa sababu hayakuhusu?

    Niliwahi kushuhudia mpangaji mwenzetu( mwanamke wa makamo) akimnyemelea kwa nyuma mkaka ambae alikua ni mpangaji mwenzetu kisha akawa kuna vitu anamtupia kwa nyuma sijui alikua anamtupia nini ile jamaa anageuka tu yule mama nayeye akageuka haraka nakuanza kuondoka kama kuna kitu alikua...
  9. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Tunaishi kwa Neema Tu

    Bila kuwasahau akina Ruge Mzee wa Fursa ameenda na Fiesta yake ameenda na maakili yake...hakika sote tunapita hapa Duniani
  10. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Ushirikina katika ngono na Manii

    Daah! Inasikitisha kwakweli...ndiyo maana kuna member humu aliwahi kusema ukienda kununua Dada powa usivae nguo unazotumia kwenye mihangaiko yako..nahisi hoja yake ilijikita huku.
  11. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Ladha ya maisha unaipata kwenye nini?

    Ladha ya maisha ni kuwa na kazi ya uhakika kwamba hata ukiulizwa unafanya kazi gani unasema kwa kifua mbele...pia kuhakikisha Bank inasomeka si chini ya 400B
  12. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Napendwa kupita kiasi

    Jitahidi kunywa maji mengi utakaa sawa....
  13. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia mwaka huu halina mvuto ni vile tu napenda mpira, ila US sio bora kwenye uandaaji

    Mkuu Niamini mimi Kombe La Dunia 2006 lilikuwa moto zaidi ya moto wenyewe...hapa miamba wote wa Soka walikua ndiyo wanamalizia malizia kustaafu soccer....
  14. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia mwaka huu halina mvuto ni vile tu napenda mpira, ila US sio bora kwenye uandaaji

    Kombe la Dunia ilikua 2006 na 2010 baasi
  15. Mlundilwa Jr

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Tamisemi mpunguze kupost picha za mazingira ya kazi mtandaoni

    Yaani hawa watumwa Serikalini miyeyusho saana...yaani kuajiriwa Serikalini kidogo tu wanataka Dunia nzima ijue...Stupid
Back
Top Bottom