R.I.P Gardna binti yako careen tulikua nae Pale ununio Beach tunashoot series ingawa alionekana kuwa mnyonge kana kwamba kuna taarifa mbaya alijua zitatokea tuu ndani ya huu mwezi.
Ahsante mkuu ingawa moderato wameufuta yaani wao kilichowauma kuona napromote Rushwa ila ile kauli ya yule dogo waliona iko sawa...
Fanyeni hivyo mkuu yaani inathamini ngono kuliko kazi, stupid
Mimi nilienda kuchoma sindano cha ajabu nurse aliyenichoma sindano sijui aliweka sumu kwenye sindano maana baada ya pale nilipofika home nikaanza kuhisi kuishiwa nguvu mara nahisi kutapika yaani nikawa naona kabisa kuzimu inaniita. Aisee nilikimbia fasta kununua maziwa nikanywa ndipo nikaanza...
Mbona alirekodi kabisa mkuu mpaka radioni ilianza kugongwa ikiwa na verse ya chid ila ndiyo hivyo baada ya lady kufuta ile verse hata media ziliipotezea ule wimbo...
Watalaam wa Tv naomba kuuliza? Hivi hizi TV za smart kwanini haziplay video zilizo ktk mfumo wa AVI badala yake zinaplay ktk mfumo wa MPG na Mp4
Note: natumia TV ya Alitop nch32
Manyoya ya paka ni Sumu yakikuingia puani unakufa...
Pia paka anauwezo wa kukariri njia ndiyo maana unapomchukua kutoka mahala fulani inabidi umuweke kwenye kiroba ili asielewe aendako na asijekurudi
Kwanini usimle mkuu halafu ukuje kwenye uzi wetu pendwa wakula tunda kimasihara utueleze, kuwa makini mkuu huyo manzi atakuona gay shauli yako me sipo.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.