Recent content by Mlundilwa Jr

  1. Mlundilwa Jr

    Kasema hanipi mpaka niende kwao kujitambulisha na Mimi nimemwambia siendi mpaka anipemo

    Kwahiyo hutaki kwenda kujitambulisha kwao? Nikuokotee mawe?
  2. Mlundilwa Jr

    Hivi inakuaje mpaka dume Zima linalilia mwanamke aisee hii kitu hainiingii akilini

    Wapo wanaopenda kupendwa,wapo wanaopenda kuhongwa, wapo wanaopenda mapenzi ndiyo hata matajiri humwagwa
  3. Mlundilwa Jr

    Kwenu Wanaume, Mwanamke akikuletea Zawadi jua ni mtego, atachukua kwako mara 2 yake

    Makungwi wanatutia loss sana...yaani unakuta wanamwambia muombe hela mume wako pale mnapokua 6 x6 tena ukiwa unamkatikia viuno
  4. Mlundilwa Jr

    Miaka 20 ya JamiiForums, taja member bora wa muda wote wa jukwaa hili. "JF GOAT"

    Huenda Nyani Ngabu ndiyo maxenmello anatumia ID mbili
  5. Mlundilwa Jr

    Ongezeko la 'movies' za maudhui ya ngono na maadili ya Tanzania

    Mkuu haya Mambo yapo mpaka huko Nigeria na unakuta mtoto wa Boss anafall in love na Mlinzi wa Getini au TAJIRI anajifanya ni BEGGER ili apate mwanamke mwenye Mapenzi ya kweli na ndiyo huko wasanii wetu wanakopi hizo Story wao wanachofanya wanazipundupindua tu kisha sisi tunaona ni wabunifu...
  6. Mlundilwa Jr

    Ongezeko la 'movies' za maudhui ya ngono na maadili ya Tanzania

    Film za YouTube zina majina ya ajabu sana na hii yote nuktokana na Story za kuungaunga matokeo ndiyo kama hayo wanaaamua kuipa Series au Film majina ya kijinga lengo wapate Views
  7. Mlundilwa Jr

    Ongezeko la 'movies' za maudhui ya ngono na maadili ya Tanzania

    Unajua Story inabeba Title ya kisa Fulani kwenye hiyo Film au Series huenda akawa mtu au jambo fulani lililofanya Kuwepo na migogoro mingi, sasa kwa wasanii wetu wao Title zao ni zakutafutia Viewer
  8. Mlundilwa Jr

    Ongezeko la 'movies' za maudhui ya ngono na maadili ya Tanzania

    MKE WA BOSS, PENZI LA MTOTO WA BOSI NA DADA WA KAZI....wasanii tumekosa Title za kueleweka matokeo yake tunaweka Title za kipuuzi kwenye film zetu...na hii yote ni kuiga kwingi Tamaduni za wenzetu
  9. Mlundilwa Jr

    Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Nimekaa vibaya sana Dizzo,nilipokua police nilifikiri kazi ya upolice ni yangu pekeangu, na nikifa nitazikwa na magwanda yangu, krauni langu na pingu zangu, kumbe nilikua najidanganya najichanganya,, nimekamuakamua sana, hakuna cha maana nilichofanya zaidi ya ugimbi sana sana bia na komoni
  10. Mlundilwa Jr

    Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Hiyu Dogo baada ya Hayat Ruge Kufariki nae akapotea mazima
  11. Mlundilwa Jr

    Mbeya vijijini acheni kupanda mahindi kwenye makazi ya watu

    Hayo ni mahindi ya kuchoma...wanataka watu wafunge safari hadi mashambani kukwanyua mahindi ya kuchoma...akikutana na kendere je utamsaidia
  12. Mlundilwa Jr

    Tusidanganyane hakuna jeans zisizochuja rangi

    Tena hizi jeans za 10k ndiyo balaa...ila yote na yote wangetengeneza Jeans zisizochuja wasingefanya biashara kabisa
Back
Top Bottom