Recent content by Mlundilwa Jr

  1. Mlundilwa Jr

    Usitumie kigezo cha dini katika kuoa au kuolewa

    WATU NA IMANI ZAO
  2. Mlundilwa Jr

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    R.I.P Gardna binti yako careen tulikua nae Pale ununio Beach tunashoot series ingawa alionekana kuwa mnyonge kana kwamba kuna taarifa mbaya alijua zitatokea tuu ndani ya huu mwezi.
  3. Mlundilwa Jr

    Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

    Ahsante mkuu ingawa moderato wameufuta yaani wao kilichowauma kuona napromote Rushwa ila ile kauli ya yule dogo waliona iko sawa... Fanyeni hivyo mkuu yaani inathamini ngono kuliko kazi, stupid
  4. Mlundilwa Jr

    Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

    Ahsante mkuu ingawa moderator wameufuta yaani wao kilichowauma kuona napromote Rushwa ila ile kauli ya yule dogo waliona iko sawa...
  5. Mlundilwa Jr

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Mkuu ungefuta hii comment wenyewe huwa hawapendi wanaona kama dhihaka
  6. Mlundilwa Jr

    Umewahi kukumbana na Kero gani katika Huduma za Afya?

    Mimi nilienda kuchoma sindano cha ajabu nurse aliyenichoma sindano sijui aliweka sumu kwenye sindano maana baada ya pale nilipofika home nikaanza kuhisi kuishiwa nguvu mara nahisi kutapika yaani nikawa naona kabisa kuzimu inaniita. Aisee nilikimbia fasta kununua maziwa nikanywa ndipo nikaanza...
  7. Mlundilwa Jr

    Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

    Mbona alirekodi kabisa mkuu mpaka radioni ilianza kugongwa ikiwa na verse ya chid ila ndiyo hivyo baada ya lady kufuta ile verse hata media ziliipotezea ule wimbo...
  8. Mlundilwa Jr

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Watalaam wa Tv naomba kuuliza? Hivi hizi TV za smart kwanini haziplay video zilizo ktk mfumo wa AVI badala yake zinaplay ktk mfumo wa MPG na Mp4 Note: natumia TV ya Alitop nch32
  9. Mlundilwa Jr

    Haya ni mambo 25 ambayo hujawahi kuyajua kumhusu paka

    Manyoya ya paka ni Sumu yakikuingia puani unakufa... Pia paka anauwezo wa kukariri njia ndiyo maana unapomchukua kutoka mahala fulani inabidi umuweke kwenye kiroba ili asielewe aendako na asijekurudi
  10. Mlundilwa Jr

    Naomba kujua Mbinu za Kuwaepuka Wahudumu Warembo wa Hoteli Kubwa ambao kila wakija Kufanya Usafi Vyumbani wanatengeneza Mazingira Uwabandue

    Kwanini usimle mkuu halafu ukuje kwenye uzi wetu pendwa wakula tunda kimasihara utueleze, kuwa makini mkuu huyo manzi atakuona gay shauli yako me sipo
  11. Mlundilwa Jr

    Naomba kujua Mbinu za Kuwaepuka Wahudumu Warembo wa Hoteli Kubwa ambao kila wakija Kufanya Usafi Vyumbani wanatengeneza Mazingira Uwabandue

    Kwanini usimle mkuu halafu ukuje kwenye uzi wetu pendwa wakula tunda kimasihara utueleze, kuwa makini mkuu huyo manzi atakuona gay shauli yako me sipo.....
  12. Mlundilwa Jr

    Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

    Lakini mkuu tumeshuhudia watu walioowa wanakunishwa nazi sembuse kuosha vyombo
Back
Top Bottom