Napendwa kupita kiasi

Napendwa kupita kiasi

Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia

Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.

Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
Anakuandaa,hivi karibu atakwambia awe anakuingilia na dildo
 
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia

Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.

Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
Anataka kukuua.Kuwa makini.
 
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia

Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.

Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
Wewe utakuwa ni mtoto wa kiume bila shaka. Kwa kuwa wanaume hatuna huu utaratibu wa kujisifia kupewa vitu vya bure.
 
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia

Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.

Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
Hiyo si kawaida kabisa Kama hutojali naomba mawasiliano yake nimfanyie scanning
 
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia

Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.

Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
Mlishawahi kupima hiv kama bado jiandae kisaikolojia kijana mwenzangu kutumia hayo madongeee
 
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia

Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.

Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
AIDS KILLS
 
Kama uliipiga mechi aka squirt mara tatu halafu wewe Bado hata kimoja hujarusha lazima akakuchukulie mkopo benki!!


Furahia nyakati Mungu mwenyezi anazokupa!!
 
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia

Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.

Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
Maliza kazi hapo kijana 😂
 
Back
Top Bottom