Aisee nimependa sana ulivyo lichambua jambo na likaeleweka kwa Mapana zaidi kwa kutumia sentensi chache, M/MUNGU akuruzuku ufanikiwe maana una uwezo mkubwa kuliko kawaida
Ajitahidi afate kilichompeleka maana akijaribu kuingia mahusiano na watu wa kule kiukweli tutampoteza awe wa kike au wakiume
Kuna kijana mmoja alijiingiza kimahusiano na binti wa kihindi kilichomtokea alirudishwa maiti
Pia aiweke akili yake sawa kukubaliana na ubaguzi wa rangi haswa kwa sisi...
Kaza buti, naamini soon njia ya mafanikio itaanza kuonekana jaribu kuomba tenah mwezi wa sita you need know unaweza kupata
Usitishwe na maamuzi ya watu ambao wamejaa unafiki tu even hata kwenye mambo ya msingi
We pray for you dude
Nina kijana wangu aliyehitimu form six mwaka Jana anataka asome degree kati ya pharmacy & medical laboratory kwa uzoefu wenu degree ipi itamfaa haswa ukizingatia upatikanaji wa ajira katika sehemu mbili husika
Siasa Ni maisha yetu ya kila siku ikiwa amechagua siasa kama sehemu ya kupatia kipato anahitaji aogopwe kama ukoma maana ataharibu kila kitu ili aweze kufaidika ndo maana anawaza uchaguzi mda wa kufanya kazi
Nadhani bado ni kijana mdogo ambaye unajibu kwa mihemko unacho takiwa kujua kuna mda wa uchaguzi na mda wa maendeleo kupitia chama kilichoshinda baada ya uchaguzi na vyote ni muhimu katika mda wake
Ni wazi bado wewe ni mchanga katika siasa kumbuka hakuna uongozi ambao utakubalika na watu wote kaa ukijua tunachohitaji katika uchaguzi ni kupata alieshinda na kuitumia ilani yake vizuri ili tuweze kupata maendeleo endelevu na sio kuendekeza tenah kampeni jambo hilo linaweza kutibua mfumo mzima...
Unaonekana ni kijana mdogo ambaye bado hujaielewa siasa vizuri unaishi kwa kuchukua maneno machache ya siasa
Ni kili kuwa uchaguzi ndo unaoaffect maisha baada ya uchaguzi lakini baada ya uchaguzi tu natakiwa tubase katika ilani ya chama kilichoshinda ili nchi iweze kupiga hatua na sio...
Ukiona mwana chama kile mwenye umri kama mimi anakitetea sana chama kile ilihali hana chochote ujue basi ana matatizo ya akili ama kaishia middle school tu ama vyote kwa pamoja
Nashukuru chama hichi kunipa vyote nilivyonavyo huku wengne wakibakia washabiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.