Recent content by mlogolaje

  1. mlogolaje

    Tusijenge majumba makubwa tukistaafu yanachangia upweke

    Mkuu namba ya yule dada wa kazi ambae sasa. Ana miaka 40 naweza kupata?
  2. mlogolaje

    Taja madeni yako unayodaiwa

    Songesha buku
  3. mlogolaje

    Tafadhali nidanganye kwa jambo lingine sio hili

    Mkuu wanaume tutoe tamko sasa....tusisahau na wanawake wenyw biashara na mitaji mikubwa
  4. mlogolaje

    Tafadhali nidanganye kwa jambo lingine sio hili

    Mama wa nyumbani anasema ukiniacha nitaenda wapi na watoto ila wao sasa majibu yao
  5. mlogolaje

    Tafadhali nidanganye kwa jambo lingine sio hili

    Kaka umeongea ukweli anarudi home amenuna af anasema usiniguse Nina stress za kazini afu analeta amri kama anaishi na kavulana katoto kumbe ndo mume,.tukubliane tena mlango wa dada wa kazi usiwekwe kitasa
  6. mlogolaje

    DOKEZO Responded Kilimanjaro: Shule ya Msingi ya Serikali yaandikisha Wanafunzi watatu (3) kuanza Darasa la Kwanza

    Watafutwe vijana kumi wa kisukuma na kumi wa kingoni walazimishwe kuishi uko na wanawake hamsini wa rombo walazimishwe kuzaa na hao vijana watoto watano watano..iwe sheria
  7. mlogolaje

    B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

    Huu ni ugomvi mpya mjini kati ya mondi na majizo
  8. mlogolaje

    Rais Samia Hassan anamwambia nani kazi iendelee na ni kazi gani hiyo?

    Naruhusiwa kutukana maana yanakera maisha. Haya
Back
Top Bottom