Recent content by Mlipa_Kodi

  1. Mlipa_Kodi

    Tujikumbushe makundi ya wasanii hapa TZ waliobamba na wimbo mmoja kisha wakapotea

    Solid ground family na ngoma ya Bush part Pig black nini mnataka mazee
  2. Mlipa_Kodi

    Tujikumbushe makundi ya wasanii hapa TZ waliobamba na wimbo mmoja kisha wakapotea

    Kuna washikaji fulani walikuwa wanajiita Solid ground family na ngoma yao ya Bush part na Pig black ngoma yake nini mnataka mazee
  3. Mlipa_Kodi

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Hays bana mi naona tukutane Oct 25
  4. Mlipa_Kodi

    Kudisco chuo na kupata usaili upya

    No vizuri kufika mahali husika ili kujua ukweli wa mambo
  5. Mlipa_Kodi

    Wabunge hawa wa CHADEMA ni mizigo isiyobebeka

    Shibuda kwa kuwa anaweza sana misemo,nahau,methali tumpugie pande akafundishe somo la kiswahili Maswa Sekondari
  6. Mlipa_Kodi

    Kampuni ya Simu ya Tigo Ni ya Mwanasiasa Gani Mbona Haifukuzwi kwa Huduma Mbovu?

    Du! ila hili Taifa tupo kama hatupo hii tigo ilianza 'mobitel~buzz~tigo' hii yote ukwepaji wa kodi
  7. Mlipa_Kodi

    Binti mwenye asili ya Kiarabu alazimishwa kuolewa na mtu asie chaguo lake-Kijitonyama

    wazazi wanayo nafasi ya kusema endapo wana sababu zenye mashiko so tu sababu wazazi ndo hata kama sababu sio za msingi wapinge mwisho wa siku wanandoa ndio watakaoenda kuishi pamoja pia lazima ujue kuna vitu ambavyo hata wazazi hawawezi kukufanyia isipokuwa mwenzi wako hata kama wao ndo...
  8. Mlipa_Kodi

    Eti kelbu mbili tu hadi sasa bado kanuna

    utafungwa ndugu hao viumbe wanaongea sana mdomoni ila nguvu hawana bora kuachana nao
  9. Mlipa_Kodi

    Nafasi za JKT

    kolonda kazi ya jeshi ugangamale
  10. Mlipa_Kodi

    CV ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema mbona ina Utata!!!

    CV sio issue wala fulushi la vyeti vya madegree swala ni kwamba ni kwa jinsi gani mtu anafahamu mambo na anawezaje kuyasimamia mambo anayofahamu bila woga ni sio kutuletea mambo ya CV
  11. Mlipa_Kodi

    Kamati kuu CHADEMA angalieni Huu ushauri

    huo ni ushauri au ushuzi?
  12. Mlipa_Kodi

    Wabunge hawa wa CHADEMA ni mizigo isiyobebeka

    na kwa nini asipukutishwe fasta huyo Shibuda ni mamluki tu
Back
Top Bottom