Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,504
- 5,707
Duh, uktaka kujua umuhmu wa C pata D na uktaka kujua D nzur pata E na uktaka kujua umuhmu wa E pata DISC. Pole xn mkuu, anza 1 bado nafac unayo.
umenena
Duh, uktaka kujua umuhmu wa C pata D na uktaka kujua D nzur pata E na uktaka kujua umuhmu wa E pata DISC. Pole xn mkuu, anza 1 bado nafac unayo.
Kuna option moja tu,nayo ni kuanza 1st year upya..mwakani na usohangaike kwenda bodi kuzui mkopo kama ulikuwa nao maana tayari chuo kitakuwa kimepeleka majina la continuing students na discolifides pia...pole sana na usikate tamaa
je kama nkichkua matokeo ya 1st. semcta .na kwenda nayo chuo kngne haiwezekan hyo
Hakuna kitu kama hicho japo habari hizo nazisikiaga humu tu.
Wew kijana kasome achana ushaur mwingn ambao hauna maana hamna cha biashara wala nn haujawaona watu wanavyoteseka mtaan ambao hawana elimu??????? kasome kijana we bado kijana
Je ni uhakika kupata tena boom,?akilipa 25% ya deni lake anapata mkopo.
Ni uhakika kupata tena mkopoHamna limitation unaweza kuomba nafasi ya chuo hata mwaka huu ila kupata ufanyili wa bodi ya mikopo ni mpaka urejeshe asilimia 25% ya mkopo wa awali. Ila apply kote tcu na omba mkopo na utapata ufafanuzi baada ya majina kupitishwa na bodi.