Eti kelbu mbili tu hadi sasa bado kanuna

Eti kelbu mbili tu hadi sasa bado kanuna

Mke hapigwi, akipigwa kwa upande wa khanga.

Mashikolo mageni, siku nyingine kabla ya kumpandisha kwenye gari inabidi umpe darasa kwanza, hapa ndipo unapofungia mkanda, ukiona kama ajali inakuja ufanye hivi, etc.

Sasa wewe mtu hata darasa hujampa unamzaba vi kelbu?
 
utafungwa ndugu hao viumbe wanaongea sana mdomoni ila nguvu hawana bora kuachana nao
 
Mke hapigwi, akipigwa kwa upande wa khanga.

Mashikolo mageni, siku nyingine kabla ya kumpandisha kwenye gari inabidi umpe darasa kwanza, hapa ndipo unapofungia mkanda, ukiona kama ajali inakuja ufanye hivi, etc.

Sasa wewe mtu hata darasa hujampa unamzaba vi kelbu?

Kupigwa kwa upande wa khanga ilikuwa ni zamani sana cku hizi wanapigwa kwa funguo za magari
 
Kupigwa kwa upande wa khanga ilikuwa ni zamani sana cku hizi wanapigwa kwa funguo za magari

Ukimpiga kwa funguo za gari sharti lake unamsusia funguo huzigusi tena. Gari linakuwa lake.
 
Mnunulie nguo mpya ya sikukuu,anadeka.Yaani,toa "takrima" kwa bibie .Ila ulimfedhehesha mkuu.
 
mpe nyingine kadhaa.... 🙂
Ila na wewe jitahidi ununue gari inaonesha mkeo kupanda magari hajazoea!

Kisha mfunze kufunga mkanda kwa sababu angekuwa amevaa sidhani kama angekufikia akiamua kukuvamia ghafla(+its safe).
Hata hivyo muda wa kumpiga kelbu mbili na kumsukumia kwake ulipata wapi ilhali ajali iko mbele?
 
Back
Top Bottom