Recent content by mlimilwa

  1. mlimilwa

    Kuna mpango wa kutumia bomba la TAZAMA kusafirisha mafuta humu nchini?

    wakisafirisha mafuta safi sizani kama yatakua salama. bomba lenyewe linapita kwenye mapoli makubwa huko.
  2. mlimilwa

    Kauli tata za Emmanuel Nchimbi vs Samia na kauli tata za Jakaya Kikwete vs Magufuli wakimnukuu baba wa taifa

    ukiondoa alioko juu, hao wengine wasionyeshe hisia zao za kujifanya wazalendo.kutokana na rekodi za waliopita ote.hakuna alioko chini akaonesha tamaa yake ya kuthubutu kupambana na aliejuuyake akamshinda. ujinga wa ainahiyo ingekua sudani au kongo ni sawa,ila sio Tanzania ninayoijua mimi. yeyote...
  3. mlimilwa

    Nataka kumuamini Nchimbi, lakini nimepoteza imani na mwana CCM yeyote

    tatizo la mchimbi ana tamaa na nafasi ya bosi wake,aondoe hilo wazo kichwani kwake malamoja la sivyo atadhalilika huko mbeleni. kupachika wabunge wake kila mahali asifikili watampa anachotamani.
  4. mlimilwa

    Ni mjinga pekee anayedhani America itaondoa bases zake middle East na kumuondolea vikwazo Iran

    walienda somaria kwa malengo gani? narudia. nikweli vikosi vya anga ndio vikosi vyenye nguvu kubwa kwenye kutoa msaada kwa nguvu na kwa wakati, pia uelewe tu kua aliegundua ndege kua sehemu ya mapigano jambo hili mwanzoni lilijadiliwa kua ni jambo la hatari sana kwa muktadha wa kibinadamu...
  5. mlimilwa

    Ni mjinga pekee anayedhani America itaondoa bases zake middle East na kumuondolea vikwazo Iran

    sasa wewe subili uone timu itakavyoshushwa na kuanza kuivuruga iran kama ilivyofanywa iraq. narudia tena.jeshi la ardhi ndio baba majeshi yote yaliobaki ni ya msaada na yanafanya kazi kutoka na taarifa zinazotoka kwa jeshi la ardhi. kama hutaki kaa hivyohivyo.
  6. mlimilwa

    Nini maana ya ndoto hii?

    kuna mtu alikua anakutumia nyota yako lakini mungu atakusimamia hatimae utajitoa kwa mtu huyo anaekutumia kwa msaada wa mtu mwingine. ila ukishafanikiwa kujitoa utakutana na maisha magumu kidogo ila hutakiwi kukata tamaa maana huko mbele shida itaisha. kwahiyo kama kuna sehem ulikua unafanya...
  7. mlimilwa

    Ni mjinga pekee anayedhani America itaondoa bases zake middle East na kumuondolea vikwazo Iran

    jeshi la ardhi ndio muhimili mkuu katika uwanja wa vita.majeshi mengine yoote ni msaada tu. hizo sehemu zoote unaona zinapigwa makombola taarifa zinatoka kwa jeshi la ardhini. huwezi kukamata maeneo ya adui yako bila ya jeshi la aldhini. labda kama malengo ya vita ni kumtia hasara adui ndio...
  8. mlimilwa

    Hii vita ya Marekani na Washirika wake dhidi ya Iran ndio imeonyesha siasa ni unafiki duniani kote

    tatizo hao wairani Rais wao pia ni mnafki wao na ni sehemu ya mtu wao. moyo wake hauumii zidi ya iran. Rais wamwisho kua na uchungu na iran ni ahamednejad tu. rohan na huyu masudi ote ni wanafki tu. Azebaijani nchi akozaliwa masudi ndio mlango mkuu wa wazungu kwenye ukanda huo.huwezi kuingia...
  9. mlimilwa

    Video: Babu Seif Kisauji asema waislamu wote wanaotumia mitandao ya kijamii watakwenda motoni

    anachokisema ni sawa kabisa kwa imani yake,lakini keshachelewa na hawezi kudhibiti. maana hata miwani ayovaa inayomsaidi yeye kuona vizuri wametengeneza na hao anaowaita makafiri. naona hata sweta alilovaa lina rangi za kwa mbaali za zile bendera za walewale.
  10. mlimilwa

    IRAN wanazidi kuibomoa ISRAEL kwa makombora na Drone

    sizani kama kuna kamanda anaweza kuongoza vita kwa hasira.hii siokweli.
  11. mlimilwa

    Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    wengine hawatakuelewa maalim.unatafuta ugomvi mwingine kabisa hapo.
  12. mlimilwa

    Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    ajabu sana hata saud alabia ambayo,waislam.wanajua ndio taifa la mtume wao,nao ni vibaraka wakubwa wa mashetani wa dunia.
Back
Top Bottom