Recent content by mlimilwa

  1. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Mke wa mwana mieleka wa WWE Jay Uso, Takecia Fatu, adai talaka, ataka mgao wa mali pasu kwa pasu pamoja na pesa za matunzo

    EAW,, hawa jamaa wa mieleka wana dunia yao, hakuna mchezo ukiuangalia una burudani kama mieleka. mchezo hauna sheria una kanuni tu. maana hata refa akijichanganya anakula ngumi anazima anaingia refa mwingine. hatari sana.
  2. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Show room uchwara zaficha magari Dar

    inaonekana kuna biashara kubwa sana ya kupiga pesa kwenye tasisi zote za usalama,tabia hii ya kujiweka tayari kwa kutumia nguvu kubwa hewa ni kutumia vibaya pesa za walipa kodi.
  3. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania CHUMA CHAKAVU: "Mishangazi" Mjini

    hiyo sio ikweta mkuu,hiyo ni HAMUZ. hahahahahahahahahahahahaha......
  4. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania CHUMA CHAKAVU: "Mishangazi" Mjini

    lishangazi lenyewe kama ndio hilo duh....!! hatari sana mkuu.
  5. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Ningependa mchana huu chakula hiki anipikie Seran

    kumbe na wewe muongeaji hivi mkuu...!! hahahahahahahahahahha.........
  6. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakufanya utafute hela kilasiku bila kuchoka ?

    Kutafuta pesa/maisha ni vita. vita vitasabishwa na mwanamke na njaa. kungekua hakuna kiumbe mwanamke usumbufu wa kutafuta pesa usingekuwepo. VITA ZOOTE NUNIANI CHANZO MWANAMKE NA NJAA. VINGINE ZIADA TU.
  7. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Wakati Tanzania tukisubiri Mvua, China wao wanajenga mito mikubwa kubadilisha Uchumi

    mzee wa ubwabwa alisha waambia,akiingia ikulu ataifikisha bahari dodoma hamkumuelewa. basi nyie endeleeni kulalamika hivyohivyo na ccm lenu.
  8. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    hahhahahahahahahahahahhahahhhahhha........ nimecheka sana,maana umezungumza kwa uchungu na hisia kali . unaakili nyingi sana hadi zimekuzidi mkuu. maswali yako haya yaweke kwenye kumbukumbu muhimu kabisa halafu ukifika umri ws miaka 60 hivi uyasome.
  9. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Bill Gates: Tujiandae litakuja Gonjwa kubwa zaidi la mlipuko kuliko Corona

    Kama ID yako unavyojiita wewe ndio ulivyo mkuu. mnamo miaka ya 2000 huyuhuyo billgate aliiambia BBC kua wataalamu wao wanajalibu kutengeneza kizazi kipya kisichotawalika kilahi. hadi leo tunaona kizazi cha kuanzia miaka hiyo kilivyo. ni kizazi kisicho ambilika,kizazi hiki ukikikuta kinafanya...
  10. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi Ya Basi Msamvu Morogoro inalipisha pesa ya kuingia hata kama una tiketi

    Sio msamvu tu mkuu..! nane 8 dodoma pia. shida iko pale.
  11. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Buraq Mnyama wa ajabu wa Kislamu

    Tatizo ufafanuzi wako umehalibu ulipowaingiza akina YOHANA kwenye hoja yako.kina YOHANA wapo kwenye aganojipya la PAULO .paulo kaandika kitabu ambavyo kipindi cha yesu yeye hakuwepo.paulo ni tapeli na hivyo agano jipya ni batili na ndio linalofanya migongano ya kidini duniani kote. AGANOJIPYA LA...
  12. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Kila nikilala najikuta nimegeuka upande wa miguuni, nawaza nini kinanitokea kila siku?

    hahahahahahahahahahahaa........duh..!
  13. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni rahisi kusema Simba na Yanga kuliko kusema Yanga na Simba?

    sio MABIBI NA MABWANA........! wanashereheshaga ma MC. Hatahivyo wazungu wanasema lady`s first.
  14. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania Idadi ya Watu walioko kwenye Ndoa vilio na kulalama juu ya Ndoa kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa kubwa

    ndio mkutano uliomfanya mwanamke awe na haki kama mwanaume,hata ule utalatibu wa wabunge wanawake ulipitishwa huko mkuu. umefanya wanawake sasa kua na viburi kana kwamba akiwa ndani na mume wake wanajiona sawa kimamlaka.
  15. mlimilwa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 UCHAMBUZI: Maswali 10 Muhimu Kuhusu Ripoti ya Tume ya Jaji Chande

    Vyombo vya usalama vilijua,ila vimeona waache wajitokeze kutoka huko walikojificha ili wanyooshwe iwe fundisho .
Back
Top Bottom