EAW,, hawa jamaa wa mieleka wana dunia yao, hakuna mchezo ukiuangalia una burudani kama mieleka. mchezo hauna sheria una kanuni tu. maana hata refa akijichanganya anakula ngumi anazima anaingia refa mwingine. hatari sana.
inaonekana kuna biashara kubwa sana ya kupiga pesa kwenye tasisi zote za usalama,tabia hii ya kujiweka tayari kwa kutumia nguvu kubwa hewa ni kutumia vibaya pesa za walipa kodi.
Kutafuta pesa/maisha ni vita. vita vitasabishwa na mwanamke na njaa.
kungekua hakuna kiumbe mwanamke usumbufu wa kutafuta pesa usingekuwepo.
VITA ZOOTE NUNIANI CHANZO MWANAMKE NA NJAA. VINGINE ZIADA TU.
hahhahahahahahahahahahhahahhhahhha........
nimecheka sana,maana umezungumza kwa uchungu na hisia kali .
unaakili nyingi sana hadi zimekuzidi mkuu. maswali yako haya yaweke kwenye kumbukumbu muhimu kabisa halafu ukifika umri ws miaka 60 hivi uyasome.
Kama ID yako unavyojiita wewe ndio ulivyo mkuu. mnamo miaka ya 2000 huyuhuyo billgate aliiambia BBC kua wataalamu wao wanajalibu kutengeneza kizazi kipya kisichotawalika kilahi. hadi leo tunaona kizazi cha kuanzia miaka hiyo kilivyo. ni kizazi kisicho ambilika,kizazi hiki ukikikuta kinafanya...
Tatizo ufafanuzi wako umehalibu ulipowaingiza akina YOHANA kwenye hoja yako.kina YOHANA wapo kwenye aganojipya la PAULO .paulo kaandika kitabu ambavyo kipindi cha yesu yeye hakuwepo.paulo ni tapeli na hivyo agano jipya ni batili na ndio linalofanya migongano ya kidini duniani kote. AGANOJIPYA LA...
ndio mkutano uliomfanya mwanamke awe na haki kama mwanaume,hata ule utalatibu wa wabunge wanawake ulipitishwa huko mkuu.
umefanya wanawake sasa kua na viburi kana kwamba akiwa ndani na mume wake wanajiona sawa kimamlaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.