Kutafuta pesa/maisha ni vita. vita vitasabishwa na mwanamke na njaa.
kungekua hakuna kiumbe mwanamke usumbufu wa kutafuta pesa usingekuwepo.
VITA ZOOTE NUNIANI CHANZO MWANAMKE NA NJAA. VINGINE ZIADA TU.
hahhahahahahahahahahahhahahhhahhha........
nimecheka sana,maana umezungumza kwa uchungu na hisia kali .
unaakili nyingi sana hadi zimekuzidi mkuu. maswali yako haya yaweke kwenye kumbukumbu muhimu kabisa halafu ukifika umri ws miaka 60 hivi uyasome.
Kama ID yako unavyojiita wewe ndio ulivyo mkuu. mnamo miaka ya 2000 huyuhuyo billgate aliiambia BBC kua wataalamu wao wanajalibu kutengeneza kizazi kipya kisichotawalika kilahi. hadi leo tunaona kizazi cha kuanzia miaka hiyo kilivyo. ni kizazi kisicho ambilika,kizazi hiki ukikikuta kinafanya...
Tatizo ufafanuzi wako umehalibu ulipowaingiza akina YOHANA kwenye hoja yako.kina YOHANA wapo kwenye aganojipya la PAULO .paulo kaandika kitabu ambavyo kipindi cha yesu yeye hakuwepo.paulo ni tapeli na hivyo agano jipya ni batili na ndio linalofanya migongano ya kidini duniani kote. AGANOJIPYA LA...
ndio mkutano uliomfanya mwanamke awe na haki kama mwanaume,hata ule utalatibu wa wabunge wanawake ulipitishwa huko mkuu.
umefanya wanawake sasa kua na viburi kana kwamba akiwa ndani na mume wake wanajiona sawa kimamlaka.
kugawanyika kwa jeshi hata,hata baadhi ya wakuu huko jeshini wanaoiunga mkono serkali wangewekwa chini ya ulinzi na vijana wao.yaani hao majenerali na timu nzima ingezuiliwa wasinge ruhusiwa kutoka hata nje,na sehem zote muhimu zinapewa ulinzi. yaan kuna wanajeshi vijana wanapangwa kulinda...
Hakuna mapinduzi ya aina ile,wale walilenga kufanya tahaluki tu,kama akili zao ndio zimeona zinafanya mapinduzi basi wajinga kabisa. yaani mapinduzi unaenda kubomoa maduka ya watu..!
mbwigilambwigila wamekula makande ukapindue nchi..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.