ukiondoa alioko juu, hao wengine wasionyeshe hisia zao za kujifanya wazalendo.kutokana na rekodi za waliopita ote.hakuna alioko chini akaonesha tamaa yake ya kuthubutu kupambana na aliejuuyake akamshinda. ujinga wa ainahiyo ingekua sudani au kongo ni sawa,ila sio Tanzania ninayoijua mimi.
yeyote...
tatizo la mchimbi ana tamaa na nafasi ya bosi wake,aondoe hilo wazo kichwani kwake malamoja la sivyo atadhalilika huko mbeleni. kupachika wabunge wake kila mahali asifikili watampa anachotamani.
walienda somaria kwa malengo gani?
narudia. nikweli vikosi vya anga ndio vikosi vyenye nguvu kubwa kwenye kutoa msaada kwa nguvu na kwa wakati, pia uelewe tu kua aliegundua ndege kua sehemu ya mapigano jambo hili mwanzoni lilijadiliwa kua ni jambo la hatari sana kwa muktadha wa kibinadamu...
sasa wewe subili uone timu itakavyoshushwa na kuanza kuivuruga iran kama ilivyofanywa iraq.
narudia tena.jeshi la ardhi ndio baba majeshi yote yaliobaki ni ya msaada na yanafanya kazi kutoka na taarifa zinazotoka kwa jeshi la ardhi.
kama hutaki kaa hivyohivyo.
kuna mtu alikua anakutumia nyota yako lakini mungu atakusimamia hatimae utajitoa kwa mtu huyo anaekutumia kwa msaada wa mtu mwingine. ila ukishafanikiwa kujitoa utakutana na maisha magumu kidogo ila hutakiwi kukata tamaa maana huko mbele shida itaisha.
kwahiyo kama kuna sehem ulikua unafanya...
jeshi la ardhi ndio muhimili mkuu katika uwanja wa vita.majeshi mengine yoote ni msaada tu. hizo sehemu zoote unaona zinapigwa makombola taarifa zinatoka kwa jeshi la ardhini.
huwezi kukamata maeneo ya adui yako bila ya jeshi la aldhini. labda kama malengo ya vita ni kumtia hasara adui ndio...
tatizo hao wairani Rais wao pia ni mnafki wao na ni sehemu ya mtu wao. moyo wake hauumii zidi ya iran. Rais wamwisho kua na uchungu na iran ni ahamednejad tu. rohan na huyu masudi ote ni wanafki tu.
Azebaijani nchi akozaliwa masudi ndio mlango mkuu wa wazungu kwenye ukanda huo.huwezi kuingia...
anachokisema ni sawa kabisa kwa imani yake,lakini keshachelewa na hawezi kudhibiti. maana hata miwani ayovaa inayomsaidi yeye kuona vizuri wametengeneza na hao anaowaita makafiri. naona hata sweta alilovaa lina rangi za kwa mbaali za zile bendera za walewale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.