hahahaaaaa nimepiga milion 43juzi kati kasheshe ipo kwenye kuzitoa zote, kila siku unatoa milioni 3 mafala sana hawa jamaa, nikajikuta nacheza tena nikaliwa karibu 10m ila zilizopona nimeopoa kwa siku 10 na nimefanyia kazi ya maana aisee hata kama wanatutafunaga nimewalamba kwenye zile jackport...
Je wapo humu walioshiriki jambolee za kimataifa? kuna anayejua mose code humu, manake scout ni lifani pana sana , nikiwa Royal nilishasafiri sana Duniani! On my honnor, i will do my best to do my duty, to god and my country.....
Nilikuwa na deni la Songesha 263,038 ambalo nimekopa dakika zisizozidi 200 nikawa nimeingizwa 2,700,000 lakini zimekatwa 626,000 kama malipo ya songesha na makato! nahitaji ufafanuzi
Nilikuwa na deni la Songesha 263,038 ambalo nimekopa dakika zisizozidi 200 nikawa nimeingizwa 2,700,000 lakini zimekatwa 626,000 kama malipo ya songesha na makato! nahitaji ufafanuzi
Heller ni jina lililotumika na wajerumani kwenye sarafu zao zilizotumika Tanganyika na makoloni yake miaka hiyo wakitawala, hivyo waswahili tukamaanisha fedha yoyote ni hela, hivyo hawajakosea hakuna tofauti kati ya fedha na hela!!!
Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi...
Salaam
Kuna changamoto ya huduma za malipo ya Bima ya afya GEPG na malipo mengine ya serikali kupitia mawakala inaonyesha hakuna commission wanayopata kwa kupokea na kuwasilisha benki malipo hayo, kinachojitokeza ni kwamba mawakala wamekuwa wanakataa kupokea fedha kwa mteja ili kumwezesha apate...
hamna kitu jana nimeambulia nikiwa church zaidi ya kusimama kwenda kutoa sadaka manake kila inapoishia unakutana na kitu kinaita tafuta inayoendelea!!!! da aisee mwamba umetuwakilisha wanaume ukanda wa afrika mashariki!!!!
Katika story ambazo nimezisoma mfululizo hadi nikiwa kanisani nachukia kusikia tusimame!!! hahahaaaaa yaaani nimetulia kwenye benchi kama nasoma biblia kumbe nasoma story hii kweli watu mna mikasa aisee!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.