Huwa wanasema wakati mwingi wanaume hujikuta kuvutiwa na wanawake waliofanana na dada au mama zao na wanawake huvutiwa na wanaume waliofanana na baba au kaka zao. Hata hivyo sioni ubaya wa huyo girlfriend wako kufanana na dada yako kwani duniani wawili wawili jamani
Zuga umepata matatizo kazini hivyo mshiko umepungua kwa kiasi kikubwa hivyo inakubidi upangishe hiyo nyumba yako na wewe ukatafute chumba kimoja sehemu nyingine kwa hiyo unawaomba wasepe.
Mkuu ni Samsung Galaxy Note 3 Neo...yaani neno "Neo" limeongezwa ili kuitofautisha na hiyo Note 3 uliyoitaja. Kwa zinavyoonekana kwa nje zipo sawa ila hii Neo ni ndogo kidogo na ndizo zenye double lines.
Wakuu naomba msaada wenu,
Mimi na ndugu yangu tumenunua Samsung Galaxy Note 3 Neo na tumekuwa tukizitumia ikiwa ni nimiezi 3 sasa. Hizi simu zina uwezo wa kubeba simcards 2, mimi natumia mtandao pendwa wa Tigo pekee na ndugu yangu ameweka simcards za Voda na Airtel.
Tatizo linalokuja ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.