MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 605
Niachie mm huyo
Duhhhhhh. Ndo ipi hiyokuna style kibao za kumkunja na usione sura... very simple!!! anzia na kunguru hafugiki, style zingine zitafata
Huwa wanasema wakati mwingi wanaume hujikuta kuvutiwa na wanawake waliofanana na dada au mama zao na wanawake huvutiwa na wanaume waliofanana na baba au kaka zao. Hata hivyo sioni ubaya wa huyo girlfriend wako kufanana na dada yako kwani duniani wawili wawili jamaninikimwangalia vizuri girlfriend wangu kafanana sura na mmoja wa dada zangu,hata tukiongozana watu husema nakuona uko na sister hapo,hata kwenye kumkamua huwa namuonea aibu nahisi kama nafanya dhambi ya kutembea na dadangu,yeye ni kabila tofauti kabisa na sisi maana niliogopa nikawa napeleleza asili yao kuhofia labda mzee alichepuka ,hili swala linanikosesha amani japo nampenda
Hata mimi mke wangu anafanana saana na dada yangu ninayemfuata.Nilipompeleka nyumbani walishangaa wakaanza kusema anamfanana dada!nikimwangalia vizuri girlfriend wangu kafanana sura na mmoja wa dada zangu,hata tukiongozana watu husema nakuona uko na sister hapo,hata kwenye kumkamua huwa namuonea aibu nahisi kama nafanya dhambi ya kutembea na dadangu,yeye ni kabila tofauti kabisa na sisi maana niliogopa nikawa napeleleza asili yao kuhofia labda mzee alichepuka ,hili swala linanikosesha amani japo nampenda
Usijali dunia watu wawili wawili.. Mimi na fanana sana na mtu mwingine utadhani mapacha.. Mara kadhaa yeye ameitwa jina langu na mimi nimeitwa Lake wakati huo tulikua hajawai kuonana ila kila mtu alikuwa ana HAMU ya kuonana na mwenzake... Ajabu hata mama angu mzazi alushawai kukutuna nae akamwita jina langu... Boss wake alishawahi kukutuna na mimi akanituknana sana eti nimetoroka kazini... Badae nikamwambia sio mimi ila huyo mtu ni pacha wangu alishangaa sana... Nilijitahidi kumtafuta jamani tulijikuta tunalia sana kwa jinsi tunavofanana.... Ikibidi tuanze utafiti... Kuwa bana wazazi... Yaani hatuna undugu hata chembe... Wazazi wake walisoma nje wakaoana huko wa kazaa huko wamerudi Tanzania baada ya baba yako kufariki... Usijali duniani wawili wawili...yeye hajamuona huyo dada yangu live, alimuona facebook akaadmit kasema wanafanana macho ila mi naona wanafanana sana vitu vingi hasa sura
hahahhahaa Duh hii style ikoje mkuukuna style kibao za kumkunja na usione sura... very simple!!! anzia na kunguru hafugiki, style zingine zitafata
Tumshauri aache 'kumkamua' sister yake![emoji23]Kwa hiyo unataka tukushauri nini...muache
Ni yule mume wa huku JF mkuu???Mi mwenyewe nafanana na mume wangu sijui ni kaka yangu mayoweeeeee ila haachwi mtu
EeeeeNi yule mume wa huku JF mkuu???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] !Eeeee