Hawavumi Lakini wamo

Hawavumi Lakini wamo

kuna mmoja walionyesha citizen akiwa anapigwa na mkewe barabarani ikabidi wananchi wamsaidie analia kama mtoto
 
Jamaa anasumbua nini hapo home? Lakini kama uko Toronto inabidi utafute na lawyer kabisa, manaake huko sheria msumeno.

Haahhaha hasumbui hata kidogo alhamdulillah ila tu najihakibiza kwa atakae ntafuta ugomvi......hahahah ulifkir nataka kumpiga my one and only?
 
Inasemekana kuna kabila moja nchini kenya wanawake huwa wanawanyanyasa na kuwapiga wanaume zao.na hii picha ni ya mmoja wa wanaume ambaye amekutana na ukatili wa mke wake....je
wanawake wa tanzania mnatamani kuwa na ubavu kama hili kabila la kenya?wanaume mnasemaje kama hali kama hii ingekuwa na tanzania?



10616079_631547450298368_3721719421657656831_n.jpg

Na huyu je kumbeeeeeeeee
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
 

Attachments

  • 1409071094008.jpg
    1409071094008.jpg
    21.1 KB · Views: 97
Naishi na wakenya kiukweli ni wakorofi sana hata hapa nahisi wataniwinda
 
Maeneo gani mzee unaishi nao hao
 
halafu wanamwonekano (personality) nzurikama wale wanawake wa kaskazinichagga disease
 
Back
Top Bottom