Recent content by mkwangha

  1. M

    UNYANYASAJI: Wafanyakazi wa Kiwanda cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL), hawajalipwa Mshahara miezi mitano

    Kawida inakuwa hivi Watu wauzalishaji wazalishe bidhaa inayouzika na wa masoko wauze kitu kilichozalishwa. Hapo watapata hela ya kuweze kuendesha kampuni Pamoja na kulipana mishahara. Wakishindwa watu wa masoko na mauzo tupo watuite
  2. M

    Business plan ya kuanzisha mradi wa kuku wa nyama (BROILER) 500

    Safi Inatosha Issue ni kupata hiyo capital Na management at all. Lakini inawezekana!
  3. M

    Uzi maalum wa kupata connection za ajira na machimbo mengine

    Natafuta ajira Nina 1 Diploma mifugo 2.advance BA 3.PGD IBM Uzoefu mauzo 5yrs
  4. M

    Anatafutwa msimamizi wa shamba

    NJOO KWENYE NAMB A HII UWASILIANE NA MANEJA 0713921703 .KARIBU
  5. M

    Kilimo Biashara na kampuni ya Namaingo Business Agency

    Mungu atusaidie.. Nchi hii kila kata INA afisa Kilimo/Mifugo kama unataka ushauri wa Kilimo Mifugo nenda huko watakusaidia Ahsante
  6. M

    Handeni DC: Tangazo la kuitwa kwenye usaili January 22 na 23, 2018

    Wakimaliza usaili watoe waliofauli halafu tufanye v look
  7. M

    Umezuka ugonjwa unaoshambulia mimea ya mahindi

    Vernom super itafaa zaidi
  8. M

    Hebu tuangalie Hii observation, halafu tutafakari kuhusu remark ya shithole

    Nafikiri ,tujiulize kwa mini ametuita shithole. . Umasikini usiokuwa na sababu Wizi wa rasilimali bilà kujitambua.. Kutotumia fursa zilizopo kuondoa. Umaskini . Nk
  9. M

    Usafiri wa ndege TZ: Wahabeshi/Ethiopian Airlines wamewezaje, tukashindwa sisi?

    Tunaonge mengi sana lakini maoni,yangu ni kuwa ukosefu was shirika bora LA ndege Tanzania ni fursa kwetu je tumeitumiaje /,.tuandike hata proposal tu ya kuanzisha hii biashara inawezekana
  10. M

    Kwanini shilingi ya Tanzania inaporomoka dhidi ya dola

    Pia,kwa upande mwingine in,fursa kwetu kuzalisha baadhi ya bidhaa,tuanze kidogo kidogo tunaweza kufanya,vitu vuzuri.
Back
Top Bottom