Kawida inakuwa hivi
Watu wauzalishaji wazalishe bidhaa inayouzika na wa masoko wauze kitu kilichozalishwa.
Hapo watapata hela ya kuweze kuendesha kampuni
Pamoja na kulipana mishahara.
Wakishindwa watu wa masoko na mauzo tupo watuite
Nafikiri ,tujiulize kwa mini ametuita shithole. .
Umasikini usiokuwa na sababu
Wizi wa rasilimali bilà kujitambua..
Kutotumia fursa zilizopo kuondoa. Umaskini .
Nk
Tunaonge mengi sana lakini maoni,yangu ni kuwa ukosefu was shirika bora LA ndege Tanzania ni fursa kwetu je tumeitumiaje /,.tuandike hata proposal tu ya kuanzisha hii biashara inawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.