Recent content by Mkurya halisi

  1. Mkurya halisi

    Wema Sepetu atangaza nafasi za kazi

    nina wasiwasi na uboss wa mdada huyu hatatutoa magazetini kweli kabira retu rina hasira muraa!
  2. Mkurya halisi

    Koroga akili kidogo.

    duh! hii conversation haitaisha hata wakikaa miaka 50.
  3. Mkurya halisi

    Unapenda sana pesa eeeenh?

    inabidi atafute ufagio azikusanye otherwiz watakesha!!!!!
  4. Mkurya halisi

    Uchaguzi wa Igunga haukuwa huru na wa haki! - Freeman Mbowe

    kwa kitendo kama hicho walichokifanya wana igunga ni fundisho kubwa kwa wanajimbo wengine inaonesha kwa namna gani ccm inaweza kucheza na utapeli kwa wananchi wa hali ya chini kama wana igunga when you look at the other side ya uchaguzi ni ufisadi mkubwa unatendeka wakati igunga na umaskini wao...
  5. Mkurya halisi

    Konda wa daladala na dereva

    aaah! jamani mie nimecheka yani nipo hoi uliza sasa nimecheka nini!!!!!!!!!!!!
  6. Mkurya halisi

    Nani anahitaji tiba?

    hahahahahaaaaaaaaaaaaa hii nayo kali!
  7. Mkurya halisi

    Bungeni Kunawaka Moto

    kuna watu naamini sio watanzania jamani tuacheni watanzania tutafute haki zetu we omr ni zao la magamba huwezi ona hii. unaonekana ni mtoto SITTA mnafanana hata akili kweli unajua huku Tarime tunateseka vp. kweli we muuaji. nakuakikishia 2015 hapatakalika.
  8. Mkurya halisi

    Ziara wizarani: Jk anamuogopa prof. Mark mwandosya?

    Hilo ni changa la macho kwani huwa MP hampelekei analysis report za wizara au ndo kujikosha mbele za vyombo vya habari kwa kuuliza cheche zake hazarani aonekane mtendaji wa mambo hapa hamna kitu watu tumeshachoka na CCM.
  9. Mkurya halisi

    PICHA: Maandamano ya CHADEMA Mwanza

    we wont bring changes if we will not practice changes hii ikifanyika nchi nzima kwa ushirikiano jamani hayawezi haya maandamano yakafika hata huku vijijini kwetu maana huku ndo panahusika kabisa na hoja zote za maandamano tuna hamu ya kupeperusha bendera ya ukombozi wetu:usa2::usa2: haimaanishi...
  10. Mkurya halisi

    Kuna nini kwenye hizi taasisi inafuata atcl

    JINAMIZI la taasisi za serikali kushtakiwa nje ya nchi na kudaiwa mabilioni ya shilingi, limehamia Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), ambalo limeburuzwa kortini na Kampuni ya Celtic Capital Corporation ya Marekani likidaiwa sh 1.6 bilioni huku Shirika la Ndege Afrika Kusini (SAA) likidai Sh6.3...
  11. Mkurya halisi

    Maelezo ya Brig. Gen. Al-Adawi kuhusu Dowans Feb 20/02/2011

    :blah::blah::blah::blah::blah:
  12. Mkurya halisi

    CHADEMA kuandamana Mwanza Feb 24; kupinga ufisadi, JK ajiuzulu

    Nguvu ya pamoja huleta mafanikio na tarime nako tunasubiri tumeshaanza kujiandaa.
Back
Top Bottom