Mkurya halisi
Member
- Feb 23, 2011
- 15
- 0
JINAMIZI la taasisi za serikali kushtakiwa nje ya nchi na kudaiwa mabilioni ya shilingi, limehamia Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), ambalo limeburuzwa kortini na Kampuni ya Celtic Capital Corporation ya Marekani likidaiwa sh 1.6 bilioni huku Shirika la Ndege Afrika Kusini (SAA) likidai Sh6.3 bilioni, kutokana na kuvunja mkataba.
Mpaka Desemba 31, mwaka jana, deni la ATCL lilikuwa Sh 75.99 bilioni, ambazo kati ya hizo, Sh 24.34 bilioni zilikuwa deni la ndani na Sh 51.65 bilioni, deni la nje likiwamo la SAA na Celtic Capital Corporation.
Kati ya madeni hayo, ya nje, zipo dola 24.72 milioni (sawa na Sh 37 bilioni), ambazo ni za Kampuni nyingine ya Wallis Trading Inc, linalotokana na kukodi ndege ya Air Bus A320 ( Kwa habari kamili pitia web ya mwananchi newspaper) MY LOOK! itafika mahali kila kitu mkataba umevunjwa tuvunje na huu wa uraisi
Mpaka Desemba 31, mwaka jana, deni la ATCL lilikuwa Sh 75.99 bilioni, ambazo kati ya hizo, Sh 24.34 bilioni zilikuwa deni la ndani na Sh 51.65 bilioni, deni la nje likiwamo la SAA na Celtic Capital Corporation.
Kati ya madeni hayo, ya nje, zipo dola 24.72 milioni (sawa na Sh 37 bilioni), ambazo ni za Kampuni nyingine ya Wallis Trading Inc, linalotokana na kukodi ndege ya Air Bus A320 ( Kwa habari kamili pitia web ya mwananchi newspaper) MY LOOK! itafika mahali kila kitu mkataba umevunjwa tuvunje na huu wa uraisi