Amefariki kwa ajali ya pikipiki alipokua ametoka hospitali kumpelekea mke wake chakula aliyelazwa kwa uchungu wa kujifungua,Mwaka jana alimfukuza mke wake mwingine aliyeish naye kwa miaka 3 na kumuoa mke huyu.Ni jirani yangu kijana wa miaka 25
Baaada ya kukata mawasiliano ya tendo la ndoa na mke wangu kumuadhibu kwa kukorofishana na mama yangu na yeye kuniambia nimtaftie mwanamume wa kumliwaza kwa hasira niliamua kuamua kula baa,kuchelewa kurudi na kuhama chumba HATIMAYE mke wangu kuniomba samahani kwa upole na unyonge na kuniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.