Yaani ni kutiana umasikini tu pamoja na huu tuliokuwa nao toka mwanzo lakini tatizo ni kuwa Waafrika hatujitambui utakuta kuna watu wanawaifadhi kwa kigezo cha waislam wenzao.
Mimi nilikuwa msimamizi wa mirathi katika mirathi hiyo kulikuwa na shamba kuna watu walinishitaki wakidai shamba ni lao waliuziwa hivyo nikafikishwa katika baraza la ardhi la wilaya kesi ilifanyika hapo kwa miaka 3 na ilipotolewa hukumu mimi nilishinda kesi nikadai mpaka ghalama za kesi nazo...
Tatizo langu lishatatuliwa natoa shuklani sana kwa mafundi na manager wao kwa kulijali suala hili manager alikuja jana baada ya kuona suala hili leo kaleta mafundi na tayari washarekebish
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya leo nashukuru kwani tatizo langu limeshalekebishwa leo hii kumekuwepo na ushirikiano mkubwa katika suala hili na manager alifika kujionea mwenyewe suala hili jana na leo wamekuja mafundi kulirekebisha wamefanya kazi mzuri kwa ufupi nami natoa shuklani katika kufanikisha suala hili...
Tanesco mnenipitishia waya za HT kwenye nyumba yangu nimekwenda mkuranga kulipot baada ya muda wakaleta nguzo ili waamishe wakaoneshwa pa kuhamishia lakini hao wakalazomish wapitishe sehemu ya mtu mwingine wanayotaka wao sasa mwenyewe kagoma cha kushangaza wanalazimisha waya zibaki hapo hapo...
kulikuwa na sababu gani easiyaseme kabla ya wao kusemwa kutokana na sababu hiyo inawezekana ikawa unafiki wa kulipa kisasi
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.