Kweli nilidhan wao watakuwa watetezi lkn kumbe wanachukulia situation kama hii kama mtaji wa kisiasa,huu si ubinadamu hata kidogo,nimeshuhudia mpangaji mwenzangu akiwa kwenye mateso makubwa. Napenda cdm lkn kwa hili tunapoteza credit kabisa
Wamesahau kuwa wasitizame kibanzi ndan ya jicho la wenzao ilhali boriti li kwao.
Daima wanawake tumeumbwa na moyo wa kusamehe na kuanza maisha mapya,binafsi nimekusamehe tangu nilipomaliza kuisoma thread yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.