Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,717
- 6,042
Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Kazi ya CHADEMA bado iko sawa.Hata chama mbadala kikipatikana hakitafanya tofauti na yanayofanyika sasa hivi.Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Kazi ya CHADEMA bado iko sawa.Hata chama mbadala kikipatikana hakitafanya tofauti na yanayofanyika sasa hivi.
I don' t know why
I keep believing
That one day, they' ll bring us together
When they' ve shown
In more ways than one
That all they care about is the dollar
You belong to the one political party
I belong to the one musical party
Our differences are worlds apart
Just like guns and roses
If we don' t take control
Of the situation
We' ll stay forever in this ya commotion
Chorus: (x3)
These guns and the roses
That we' ve got to live with
How can five years of power
Destroy a lifetime of
Togetherness
One time we were judged
By the colour of our skins
Now we are judged
By the colour of our flags
Let us unite
Against being divided
You belong to the one political party
I belong to the one musical party
Let us take control of the situation
Otherwise we' ll be trapped in this
Chorus: till fade
Lucky Dube
Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi
ya kweli Tanzania.
anzisha unasubiri nini?Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
kiwa na akili ndogo kamwe huwezi kujua lolote kuhusu siasa za chadema ,so kwa akili yako huna namna ni lazima utasema ivo! Ila ukiendelea kukua na akili ika komaa nadhani utakuwa na mawazo ya tofauti na hayo uliyo nayo sasa
anzisha chama
Huwezi kuwa na chama kama CHADEMA chenye viongozi amabo hata historia haiwasaidii kuwapa maneno ya kutamka kwenye majukwaa ya kisiasa. SLAA hana hata historia ya hatua zilizopitiwa hadi kufikia MAPINDUZI YA VIWANDA HUKO ULAYA? eti wanahitaji mwaka mmoja kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda. Nakumbuka juzijuzi akasema akiwa Rais atahalalisha gongo, anataka kutuambia wanywa gongo ndiyo wataifanya tanzania kuwa nchi ya viwanda kweli? Sioni hata haja ya kuwa na chama mbadala zaidi ya CCM kama maono yao ni ya ajabu kiasi hiki.
I don' t know why
I keep believing
That one day, they' ll bring us together
When they' ve shown
In more ways than one
That all they care about is the dollar
You belong to the one political party
I belong to the one musical party
Our differences are worlds apart
Just like guns and roses
If we don' t take control
Of the situation
We' ll stay forever in this ya commotion
Chorus: (x3)
These guns and the roses
That we' ve got to live with
How can five years of power
Destroy a lifetime of
Togetherness
One time we were judged
By the colour of our skins
Now we are judged
By the colour of our flags
Let us unite
Against being divided
You belong to the one political party
I belong to the one musical party
Let us take control of the situation
Otherwise we' ll be trapped in this
Chorus: till fade
Lucky Dube
Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Huwezi kuwa na chama kama CHADEMA chenye viongozi amabo hata historia haiwasaidii kuwapa maneno ya kutamka kwenye majukwaa ya kisiasa. SLAA hana hata historia ya hatua zilizopitiwa hadi kufikia MAPINDUZI YA VIWANDA HUKO ULAYA? eti wanahitaji mwaka mmoja kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda. Nakumbuka juzijuzi akasema akiwa Rais atahalalisha gongo, anataka kutuambia wanywa gongo ndiyo wataifanya tanzania kuwa nchi ya viwanda kweli? Sioni hata haja ya kuwa na chama mbadala zaidi ya CCM kama maono yao ni ya ajabu kiasi hiki.
Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Huwezi kuwa na chama kama CHADEMA chenye viongozi amabo hata historia haiwasaidii kuwapa maneno ya kutamka kwenye majukwaa ya kisiasa. SLAA hana hata historia ya hatua zilizopitiwa hadi kufikia MAPINDUZI YA VIWANDA HUKO ULAYA? eti wanahitaji mwaka mmoja kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda. Nakumbuka juzijuzi akasema akiwa Rais atahalalisha gongo, anataka kutuambia wanywa gongo ndiyo wataifanya tanzania kuwa nchi ya viwanda kweli? Sioni hata haja ya kuwa na chama mbadala zaidi ya CCM kama maono yao ni ya ajabu kiasi hiki.