Wanawake wana roho mbaya sana

Wanawake wana roho mbaya sana

1. Hebu akangalia mwanamke alivyokutunza miezi tisa tumboni huku akiteseka na masickness kibao.
2. Akapata uchungu mkali wakati anakuzaa.
3. Hakulala usingizi akikubembeleza na kukunyonyesha na kuharibu ujana wake kwa ajili yako!
4. Akifua matapishi na mimavi yako kipindi unajinyea
5. Akakusomesha hadi umekuwa na pesa kidogo, hadi umesahau kila kitu na kuanza kumsemea mbaya MAMA yako ambaye ni Mwanamke!
mkuu naamin hayo yote aliyajua kabla ya kubeba ujauzito and infacts huo ni wajibu wao
 
mimi nina mifano ya wamama waliowapenda watoto wao wa kambo na at the end of the day,they ended up being the bad ones!nina mifano ya baba wa kambo waliowageuza watoto wa kike na kiume kuwa wake zao!nina mifano ya housegals waliokua treated like part of the families and ended up sleeping with the husbands,robbed houses,walichoma watoto kwenye oven,walikula chakula cha watoto and left them hungry!one thing,be the change and dont expect people to do the same always,usijudge wote kisa wale uliowaona ni negative..toa solutions/advice bwana,stop pointing fingers on people(especially the opposite sex)while deep down your heart you know that hata nyie kuna mambo mabaya mnafanya!.tena sana!

Umeongea bonge La fact!!..they say don't judge before considering the other side of the story..tuache kuishi Kwa imani na myths zilizoenea mitaani..tutafte facts..binadamu Hawa!!unamfanyia wema anakirudishia machungu ..tna kama yupo kwenye those special groups mentioned above..mhh unageuziwa kibao wewe ndo mbayaa..Dunia inebadilika jamani ..na nyie wanaume jfunzeni kuwa committed na watoto wenu..mama kafariki ..Lea mwwnyewe !!kuoa mwingne..azae wengne unajua fka inaeza kuleta uhasama na mateso ya nini?si mjikaze aaaah
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.

Na hao wote uliowataja wanawake pia!!then una uhakika gani wao sio vyanzo vya hzo unazoziita Roho mbaya?unatakaje wakufanyie ushenzi uwalambeee..kisa..ntaonekana Roho mbaya?..as in uwape go ahead wao ndio wakufanyie roho mbaya?..huruma ya mshumaa siyoo??..21st century hii wewe wake up
 
Unaongea kweli ila mwanamme ndio mwalimu wa mwanamke so juhudi inahitajika kupita kiasi twaweza kufanikiwa jitihada wajada
 
mbona unado na hao hao wanawake?

Hehehee..umeona eeh..tna na michepuko mia kdogo yupo radhi ukimwi umvae but hawaachi!na mkitaka kugombana mwambie abaki Njia kuu..,hvi kweli unaowaona wana Roho mbaya ukalale nao tna vchochoronii usku kuchaa usiogopee atakudhuru??..kavurugwa huyu si buree
 
Wanaume wana roho nzuri sana ndio maana duniani hakuna ubakaji, hakuna vita yaani dunia ina amani sana. Hakuna watoto waliokataliwa na baba zao yaani ni wanaroho nzuri sana. Mungu azidi kuwabariki!
 
Wanaume wana roho nzuri sana ndio maana duniani hakuna ubakaji, hakuna vita yaani dunia ina amani sana. Hakuna watoto waliokataliwa na baba zao yaani ni wanaroho nzuri sana. Mungu azidi kuwabariki!

hii ni baraka ama laana?
 
Hiki ni kipimo ambacho mungu amekiweka kwa waumini wa kiume ili kuwapima imani zao wakiweza wao na wake zao peponi wakishindwa kinyume chake
 
Wanaume wana roho nzuri sana ndio maana duniani hakuna ubakaji, hakuna vita yaani dunia ina amani sana. Hakuna watoto waliokataliwa na baba zao yaani ni wanaroho nzuri sana. Mungu azidi kuwabariki!

Bibi com umenichekeshajee
 
Wanaume wana roho nzuri sana ndio maana duniani hakuna ubakaji, hakuna vita yaani dunia ina amani sana. Hakuna watoto waliokataliwa na baba zao yaani ni wanaroho nzuri sana. Mungu azidi kuwabariki!

Wamesahau kuwa wasitizame kibanzi ndan ya jicho la wenzao ilhali boriti li kwao.

Daima wanawake tumeumbwa na moyo wa kusamehe na kuanza maisha mapya,binafsi nimekusamehe tangu nilipomaliza kuisoma thread yako
 
Wanawake wana roho mbaya sana na sijui ni kwanini. Ukitaka ku prove fuatilia haya hapa.

1. Wanavyoishi na ma house girl
2. Wanavyoishi na watoto wa kambo
3. Wanavyoishi na wakwe zao
4. Wanavyoishi na mawifi.

Na pia angalia mwanamke akawa Blandina Nyoni fulani hivi usipime huo moto wake kwa wanawake wenzake.
Shukuru sana mwanamke maana you whole existence was made possible by a woman!
Hizo circumstances za wanaonyanyasa watoto si kwa wanawake tu, wapo wanaume tena wao wanawabaka kabisa watoto wa kambo au kuwalawiti kama ni wa kiume( zipo na tumezisikia).
 
1. Hebu akangalia mwanamke alivyokutunza miezi tisa tumboni huku akiteseka na masickness kibao.
2. Akapata uchungu mkali wakati anakuzaa.
3. Hakulala usingizi akikubembeleza na kukunyonyesha na kuharibu ujana wake kwa ajili yako!
4. Akifua matapishi na mimavi yako kipindi unajinyea
5. Akakusomesha hadi umekuwa na pesa kidogo, hadi umesahau kila kitu na kuanza kumsemea mbaya MAMA yako ambaye ni Mwanamke!

Kaunga aka Kasembe...kwani hayo yote ulotaja hapo juu ni favour au ni haki ya kibiolojia na kisheria mwanamke kuyatenda?Ina maana kuna mbadala wa kubeba iyo mimba nje ya tumbo,kutopata uchungu wakati wa kuzaa..nk ila yeye akachagua hayo yenye mateso?Hapio mwanamke anatimiza wajibu wake kama vile ulivyo na kompyuta /simu kama chombo cha mawasiliano vianze kukwambia ooh mimi nakufanya unaweza kuingia JF,ooh nakuwezesha kuwasiliana na watu.No no no hayo yote ni woman inbuilt.Ila mwanaKe wana roho mbaya kwa ukweli...
 
Back
Top Bottom