Recent content by mkota jr

  1. mkota jr

    Siri ya mafanikio

    Maneno ya kutia moyo sana!!!
  2. mkota jr

    Uchambuzi wa habari: CUF sio tu imefanya kosa, imefanya kosa kubwa kisiasa

    Naomba niulize hapa kidogo,hivi Prof.lipumba ana mke na watoto wa ngapi???
  3. mkota jr

    Kulikoni ndoa za siku hizi?

    Tatizo kubwa nikuwa watu wanajua mambo ya ndoa sn kabla hata ya kuingia kwenye ndoa na pia watu wanajiandaa mno na huwa wanaingia kwenye hii bond ya ndoa na majibu ya changamoto ndo mana hata ukijaribu kufuatilia aina ya maoni ya wadau wanayotoa utaona kuwa watu wameshaandaa majibu ya ndoa...
  4. mkota jr

    Uchambuzi wa habari: CUF sio tu imefanya kosa, imefanya kosa kubwa kisiasa

    Kwani wakati akitoka cuf kulikuwa na remote gan nyuma yake ambayo kwa sasa ndo ionekane,hii kwa mim ni dharau kwa viongoz wa cuf walioweza kuivusha cuf kipindi kigumu ambapo lipumba aliondoka!!!
  5. mkota jr

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Lowasa saluteeeeeeeee................................................
  6. mkota jr

    Namuomba Rais kazi wa uwaziri Ardhi na Maendeleo ya makazi

    huwa napata tabu sn katka nchi yetu hii ya tanzania,yan unapokuwa na mawazo mbadala watu wengine wenye uwezo mdogo wa kufikir wanakuona wew ni chadema,labda niwaambie kitu kimoja kuwa mtu anapokuwa na mawazo ya kuleta mabadiliko sio lazima awe ni mwanachama wa chama cha siasa
  7. mkota jr

    Namuomba Rais kazi wa uwaziri Ardhi na Maendeleo ya makazi

    kunakitu kinaitwa political fallacy,yan badala ya kwenda kwenye hoja unaanza kuattack mtu personally,hayo ni mawazo ya ego unaweza kuyakubali au kuyakataa mambo ya ukabila yanatoka wp?kuanzisha kitengo cha mipango miji ambacho kitatatua matatizo ya wananch (walipa kodi)nikuleta gharama lakin...
  8. mkota jr

    Ulevi wa Kina Tibaijuka, Werema na Wenzao Hauondoki Isipokuwa kwa Pingu na...

    unapokuwa mlev kweli ni ngumu kujua kuwa wew ni mlev na unaweza fanya jambo la aibu lakn bado ukaona uko sawa na mlev anapolewea huwa na marafik na watu wanaomuuzia kilev utakapotokea wew ambaye sio mlev na ukajaribu kumsahihisha mlev kuwa anachofanya si sawa watu wanaomzunguka watamsifu na...
  9. mkota jr

    Namuomba Rais kazi wa uwaziri Ardhi na Maendeleo ya makazi

    i give you crdt,mh.rais naomba umuone kijana huyu na umpe nafas atumikie nchi yake kwan anaonekana kuwa mzalendo na amejipanga kutatua matatizo ya aridh nchin na kuleta maendeleo
  10. mkota jr

    Escrow na kisa cha mke mpumbavu, anawatangazia majirani kuwa mume wake ni "Mume suruali tuu!.

    tunaishi katka jamii huru ambayo kila mtu ana uhuru wakuongea kwa kile anacho kiamin kwa sakata la escrow pesa zimepigwa hata tusiyumbishwe ila kwa lile la Richmond lililotupotezea wazir mkuu mchapa kaz kwa uroho wa watu kutaka uwazir sitalisahau mana ilikuwa ni zaidi ya roho na uchu wa madaraka
  11. mkota jr

    URAIS 2015: Pinda Vs Lowassa

    lowasa ni moja kat ya mawzir wakuu wajasir waliowah kutokea katk nchi hii,binafs najivunia yeye kwa uamuz wake na usimamiz uliotukuka katka shule za kata japo naamin kuwa lait angekuwa wazir mkuu had leo shule za kata zingekuwa mbali pia uwepo wa chuo cha udom alifanya maamuz magum hadi kfikia...
  12. mkota jr

    Nakusudia kuwafikisha Mahakamani Lowasa, Membe na Sitta

    ninachokiona ni kuwa unaonekana kuwa na chuki zaid kuliko kuendeshwa na facts,hiv ulishawah kufuatilia ile ripot ya mwakyembe juu ya kinachoitwa ufisad wa lowasa?uliwah kufuatilia vikao vya kamati kuu ya ccm wakat lowasa alipouliza kwanin anaitwa fisad?unajua kilichotokea?unaelekea kuwa na...
  13. mkota jr

    Nini hatima ya walodahiliwa kwa ajili ya ualimu daraja la 3A?

    baada ya majadiliano na wakuu na wamiliki wa vyuo na serikali walikubaliana kuwa wanafunz waliodahiliwa waendelee na masomo kwenye vyuo vya private ila hao ndio watakao kuwa wa mwisho
Back
Top Bottom