Recent content by mkirua vunjo

  1. M

    A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    Jamani naomba anayejua hali ya kamanda wetu Dr. Ulimboka atujuze anaendeleaje. Samahani kwa kuwasumbua
  2. M

    ‘Mpeni Sioi ubunge mumfute machozi’

    Mwandishi Wetu, Arumeru WANANCHI wa Jimbo la Arumeru Mashariki, wameombwa kumchagua mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CCM, Sioi Sumari ili kumfuta machozi yaliyotokana na kifo cha baba yake mzazi, Jeremiah Sumari ambaye alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo. Mbali na hilo wananchi hao wameelezwa...
  3. M

    Diwani wa ccm nkoarua ajiuzulu

    about an hour ago 2 people like this. Noor Hassan PIGO KWA CCM: DIWANI WA KATA YA NKWARUA ,WILAYA YA ARUMERU MASHARIKI ,EMANUEL LANGAELI , AJIUZULUabout an hour ago via mobile · Like · 1 Aikarua Benson Silaa People !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!about an hour ago · Like...
  4. M

    Diwani wa ccm nkoarua ajiuzulu

    Diwani wa ccm .emanuel langaeli wa kata ya nkwarua ,wilaya ya arumeru mashariki ajiuzulu
  5. M

    Kuomba kura wakati wewe hujajiandikisha

    Jamani naona kweli kwa upande wangu ni kichekesho kikubwa sana, inakuwaje mtu uombe upigiwe kura wakati wewe mwenyewe hujajiandikisha! Naomba ma great thinkers mjaribu kuangalia hili. Ni kwamba Mgombea wa CCM Arumeru Sioi Sumari hajajiandikisha kupiga kura popote Tanzania, sasa leo anakuja...
  6. M

    CCM: Tumetumia Sh220mil, CHADEMA 600mil

    CCM: Tumetumia Sh220mil, Chadema 600mil Send to a friend Monday, 12 March 2012 09:49 0digg Elias Msuya CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetetea matumizi ya Sh220 milioni katika kura ya maoni kumpata mgombea wa ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo...
  7. M

    Insights muhimu kuhusu mgomo wa madaktari leo 7/03/2012

    MANI TUNAOMBA MWENYE TAARIFA JUU YA MGOMO WA MADAKTARI ATUTAARIFU Naomba kuwasilisha
  8. M

    Mzinduzi wa kampeni za CCM

    Jamani wana Arumeru nimesikia kuwa Mzee Mkapa ndio atakuwa kiongozi wa uzinduzi wa kampeni za CCM hapa kwetu Arumeru MAshariki. Naomba akija ajibu maswali haya 1. Shamba la Madira Estate walilojigawia na Kimaro litarudishwa lini kwa wananchi wa Arumeru wenye ufinyu wa Ardhi. 3. Shamba la Mauwa...
  9. M

    Aibu kwa Taifa

    Mojawapo ya wadaiwa Sugu wa HESLB ni 4716 KIKWETE, RIDHIWANI J Tembelea University of Dar es Salaam - Graduated Between 1994 & 2005 (Names K to L)
  10. M

    kichaga kigumu kuandika

    Lanye kui mchaka afumie Kirua lanye?
  11. M

    Maendeleo ya Mgomo wa Madaktari na Mwitikio wa Serikali

    Jamani tunaomba mwenye update na mgomo wa madaktari atujuze humu jamvini naomba kuwasilisha
  12. M

    kichaga kigumu kuandika

    Ngikundi kyena na shirho lya loi, konyo na kinenge nokyechihiyo mbarhe mbicho
  13. M

    kichaga kigumu kuandika

    Kyanginenga nduu tsa wanda ngakulyia na shia sma mbalha
  14. M

    kichaga kigumu kuandika

    "Kyumbo ilorha soko" mrasa wo ndeu nyi mbari
  15. M

    kichaga kigumu kuandika

    Lanye lanye wa meku wa uruka ambienyi mbinyitsi, kitewe njamatsi tsipfa kurhi nkyikyi? wikenyi kusarhe
Back
Top Bottom