mkirua vunjo
Member
- Nov 11, 2011
- 25
- 5
Jamani tunaomba mwenye update na mgomo wa madaktari atujuze humu jamvini
naomba kuwasilisha
naomba kuwasilisha
Walikuwa bado hawajaanza mgomo?
Sidhani nawafananisha na waalimu!
Waache wagome, wataenda kuuza nyanya. Tutakodi madaktari kutoka nje
Huyu Blandina Nyoni sijui yukoje, na pengine najiuliza kwa nini wanawake wakishika madaraka ya juu huwa na kiburi sana?
Sio lazima, Katibu ni mtendaji zaidi sana sana awe anajua mambo ya fedha au mipangoJamani naomba niulize huyu Blandina nyoni kasomea hii professional ya udaktari? au kapewa kama katabia kao hawa jamaa.
Waache wagome, wataenda kuuza nyanya. Tutakodi madaktari kutoka nje