Recent content by Mkerio

  1. M

    JamiiForums Tanzania Album ya Lilian Wasira Yasisimua Wengi

    Jana pale Landmark Mh Mbowe alizindua album ya nyimbo zilizotungwa na kuimbwa na Lilian Wsira yenye nyimbo sita. Nyimbo hizo zinahamasisha Watanzania wajiunge na harakati za ukombozi, kwamba CCM muda wake wa kuaga umefika, akina mama waamke sasa wakomboe taifa nk. Nilinunua album yangu na kwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ya Viongozi wa Chadema na Kamati kuu, CDM ijipange?

    Jaribu ku argue sio ku shout. Jamani wana JF tukitaka tuelimishane tujenge hoja si kutumia hasira. Hilo la kanisa tumeandika sana. Kwamba kanisa haliwatengi wakristo kwa kushabikia ccm ila kwa kushabikia kumkufuru Mwenyezi Mungu. Huyo mgombea wa ccm Rukwa alisema yeye ni Yesu, mgombea urais ni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Chadema na uchaga

    Unazungumzia migogoro gani? Hakuna chama ambacho watu hawakinzani. Nenda marekani Democrats wanamsakama Obama kwa kukubali kuingia makubaliano na Republicans. je ni mgogoro? Hao madiwani waliojiuzulu Mara si mgogoro wa CCM? Fikiria plz usiwe kama Babu yangu wa kijijini kusema umepoteza kura
  4. M

    JamiiForums Tanzania Chadema na uchaga

    Tathmini yako sikubaliani nayo. Kama unaifahamu historia, mwaka 1995 maeneo mengi ambayo yamewachagua chadema waliipigia NCCR-Mageuzi. Unataka kuniambia 1995 ccm ilikuwa na mpasuko? Mimi nadhani maeneo haya ni yale yenye uelewa kwa demokrasia. Je, Kigoma kuna mpasuko sana kuliko mikoa mingine?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Chadema na uchaga

    Pamoja na nia yako mbaya ya kuleta hoja kama hii ila kwa maoni yangu wewe ni mchemkaji kuliko MS. Sijui una elimu gani ila hoja zako nyepesi mno. Unamzungumzia Mbowe kwa vile Chadema ina nguvu. Mbona husemi CUF kuwa chama cha wapemba tena chama cha Kiislam?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Chadema na uchaga

    Fikiri kwanza kabla ya kunena. Unao ushahidi? Nani aligombea akanyimwa kwa vile si mchagga? Kwani Bob Makani alikuwa mchagga? Zitto akushauriwa asigombee kwa vile si mchagga bali kwa vile ni mchanga wa kisiasa. Fikiria kama angekuwa mwenyekitii chama kingefika wapi? Nahisi wewe ni Sunguru katibu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Judge Kisanga: The constitution has outlived its usefulness

    Bravo
  8. M

    JamiiForums Tanzania Chadema mpo wapi?

    Nadhani humu ndani JF kuna viongozi wa chadema. Kampeni zilizopita zimeleta hamasa sana kwa wa TZ. Mimi nakaa Kinyerezi watu wanauliza kadi wapate wapi, ofisi ya chama ipo wapi? Nadhani chama kingefanya recruitment drive kwa kufungua matawi nchi nzima na kuuza kadi kabla moto huu haujaisha...
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 CCM yaendelea kupimana ubavu na kanisa katoliki Sumbawanga.......

    Tatizo la wakristo ni wapole sana. Ingekuwa ni Mkristo amemkufuru Mtume ungewaka moto na angetangaziwa fatwa. Huwezi kulinganisha utatu mtakatifu na visiasa vyako.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Vuai Nahodha rais 2015!

    unakuwa kama huifahamu CCM? Jinsi ccm ilivyotawaliwa na rushwa huyo Migiro na Tibaijuka nani atawapitisha? kamati kuu imetawaliwa na watu wa Lowassa na ndio maana waliweza kumwondoa Sitta kwenye uspika. Mtu anayeungwa mkono na Lowassa atapitishwa kugombea nionavyo mimi na atapigwa chini na...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sakata la Dowans lamuibua Nape...

    mimi namwona Nape kama kijana mzalendo. Ni kweli kama tukiamua kufanya maandamano ambayo mimi naona ni mazuri kwa ajili ya kuleta changamoto, agenda iwe kuishinikiza serikali iwachukulie hatua waliohusika katika sakata la richmopnd hadi dowans. Bunge lilipiga kelele wachukuliwe hatua serikali...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuuzwa nyumba ya sanaa; kuna siku Ikulu itauzwa pia!

    Labda husomi magazeti kujua nyumba ya sanaa imeuzwa. Swala la majungu halipo na sina muda wa majungu. Magazeti sikumbuki ya lini ila kwa mfano soma The Citizen Friday, 10 December, 2010 page 9 utakuta mchambuzi Freddy Macha alivyochambua umuhimu wa Nyumba ya Sanaa na hatari za kuhamishwa kwake...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuuzwa nyumba ya sanaa; kuna siku Ikulu itauzwa pia!

    Ndugu wana JF, Nimesikitishwa sana na habari kuwa jumba la sanaa limehamishwa ili kupisha ujenzi wa gorofa ya kigogo mmoja ambaye alishawahi kuwa waziri mkuu. Jumba hili ni la muhimu sana na lipo tangia wakati wa mwalimu. Inasikitisha kuona nchi inakwenda kishkaji kwa kufanya mambio kwa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kikwete kuwa serious japo kidogo tu...

    Kwa mtazamo wangu naona Mkapa pamoja na mapungufu yake mengi alikuwa Rais makini sana. Naona hata Mwinyi anamzidi Kikwete kwa umakini. Nadhani tatizo hajipi muda wa kutosha kusoma. Anawaachia watu wafanye kazi yeye anastarehe tu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Sitta: Dowans ni genge la ulaji wa vigogo watatu; tusiwalipe!

    Nimesoma gazeti la mwananchi la leo ukurasa wa kwanza kuhusu kauli ya Sita kuhusiana na hukumu ya kesi ya Dowans. Anasema hakuna haja ya kulipa hizo pesa na kwamba kuna genge ndani ya CCM ndio walichora mpango huo wapate fedha kwa ajili ya uchaguzi wa 2015. Namuunga mkono kwamba kama serikali...
Back
Top Bottom