Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,065
- 4,058
Siku za hivi karibuni umetuambia utaleta usafiri wa reli kwa wakazi wa Dar es Salaam.
Swala hili ni zito hasa ikitiliwa maanani kwamba mji umejaa na haujajengwa kwa mpangilio.
Je unachotuambia hizo reli zitapita wapi?
au ndio yale mambo ya ahadi za NDIYO MZEE wa Prof. Jay Wamitulinga?
Swala hili ni zito hasa ikitiliwa maanani kwamba mji umejaa na haujajengwa kwa mpangilio.
Je unachotuambia hizo reli zitapita wapi?
au ndio yale mambo ya ahadi za NDIYO MZEE wa Prof. Jay Wamitulinga?