Recent content by Mkereketwa_Huyu

  1. Mkereketwa_Huyu

    Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

    Of course, imeandikwa na binadamu siyo Mungu. Hizi dini za maboti (Abrahamic religion) ni man made, usipotoke kijana. Soma uelimike usipende kujikaririsha tu ujinga, haya unayofanya wewe ni ujinga tuliokuwa tunaaminishwa zamani kabla hatujasoma.
  2. Mkereketwa_Huyu

    Watoto wa maskini waende wapi kuenjoy?

    CCM walishamuua Magufuli ili kufanya maovu yao, usikute ni viongozi ndiyo wamejichukulia hiyo beach wakitoza wananchi wao hela za viingilio
  3. Mkereketwa_Huyu

    Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Kama ni mwanamke nashauri haya marina yafuatayo: 1. Malaika 2. Malkia 3. Wema 4. Zawadi 5. Upendo 6. Neema 7. Nuru Mwanamme: 1. Baraka 2. Shukuru 3. Amani 4. Mwema 5. Nuru
  4. Mkereketwa_Huyu

    Mtu kama huyu unamsaidiaje?

    Mshangazi kishamroga huyo jamaa, si akili zake huyo kususa familia yake
  5. Mkereketwa_Huyu

    Tujifunze Samakisamaki, unakaribishwa hadi chooni

    Duh hii kali, mwanamme mwenzako anakukaribisha mpaka unaenda kunya.....si ndiyo mwanzo wa kushikishwa ukuta huu huku unakula samaki chooni?
  6. Mkereketwa_Huyu

    Ukipewa nafasi ya kuwa Kiongozi kwa siku moja ni kitu gani utabadilisha cha kwanza?

    Kunyonga viongozi wote wezi waliopo madarakani hivi sasa na wale waliostaafu. Nitawataifisha mali zote walizoiba kisha kuwanyonga. Lazima tuwashikishe adabu hawa viongozi ili iwe fundisho kwa watu wengine.
  7. Mkereketwa_Huyu

    Msumbiji: Mtanzania miongoni mwa watu 16 wanaotuhumiwa kuunga mkono ugaidi

    Kwa kuwa ameshakamatwa basi anyongwe tu......hatuwataki magaidi nchini kwetu
  8. Mkereketwa_Huyu

    Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

    Ndiyo madhara ya kuabudu shetani na majini maana kila kukicha wako kwenye vita na wanadamu ili wamuudhi Mungu tu
  9. Mkereketwa_Huyu

    Sina chuki na Wakenya ila nimejifunza haya katika kufanya nao kazi

    True to some extent na yote hii inatokana na ukabila huko kwao kwani hata wao wenyewe kwa wenyewe hawathaminiani, wako sawa na Wahindi tu
  10. Mkereketwa_Huyu

    Dar, Posta mvua yaleta foleni

    Tuonyeshe hiyo mvua basi
  11. Mkereketwa_Huyu

    Lindi: 13 wafariki katika ajali kati ya Coaster na Lori

    Mungu awalaze mahala pema wanapostahili
  12. Mkereketwa_Huyu

    Niliyoyaona Msumbiji kuhusu vyakula, silaha, mavazi, ngono na mengineyo

    Shiiiiiiiiiii, nyamaza usiongee kwa nguvu namna hii.....utawafanya wanawake wa kichagga na Kipare kwenda kuhamia huko
  13. Mkereketwa_Huyu

    Mitandao ya Tanzania ni ya hovyo mno, Tigo, Vodacom , Airtel internet ni takataka tu. Wanatuibia pesa zetu.

    Na waziri Nape yuko bizę tu kupiga punyeto, dogo hafai kabisa kuwa waziri hata kidogo na ndiyo maana Magufuli alimpiga chini
  14. Mkereketwa_Huyu

    Waziri Gwajima, Serikali yetu Inaruhusu Gender Reassignment Surgery?

    Serikali haiwezi kusema ukweli juu ya hili ila unatakiwa kujuwa tu kwamba kuna wanaume wa Dar wengi sana wanataka kubadilisha jinsia.
Back
Top Bottom