Tulipofikia kama Taifa

Tulipofikia kama Taifa

IMG-20250903-WA0110.jpg
 
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa lolote.

Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
Mimi sikubaaliani nawe; hasa kuhusu hiyo orodha ya sababu.

Kwa vile ni mabango ya Samia; hao kwangu nawaita ni "wajasilia mali" makini sana.
Hawa ni wapambanaji, ambao mchango wao kuliokoa taifa hili ni muhimu utambuliwe na kuheshimiwa.

Sijui hilo la "kukataa tamaa" wewe umelitoa wapi, wakati hawa ni mfano mzuri wa kuigwa na wote wapenda nchi yao Tanzania.
 
Massive brainwashing iliyofanyika kizazi kilichopita, then hiko kizazi kika brainwash walio fuata.
Lakin hao hawakuweza ku beainwash watoto wao, ndio hawa leo wanagongana kimawazo na mifumo iliyozoea kizazi kilichopita

Hii kitu ilifanyika makusudi na ustadi mkubwa, kuingiza uwoga (kusikuwepo na resistance among citizen), utii uliopitiliza, na kutengeneza tabaka ambalo only watoto wa vibosile ndio watakuwa leaders.
Nonsense.
Unabwabwaja vitu usivyo vijua; na kama ni vya kusimuliwa hata uwezo wa kujitafutia usahihi wa storiulizo pewa huna. Sasa wewe tukuchukulie vipi.

Kama wewe ulikuwa 'brainwashed' utakuwa umefanyiwa hivyo na maadui wa nchi hii, na siyo hao unaowanyoshea kidole hapa.
 
Kuhusu vijana kutumia mihadarati: Mihadarati ni ganzi inayotuwezesha kuhimili machungu ya maisha. Machungu ni mengi tu,mnayajua.
 
Huyo dogo anaonekana anahitaji msaada,wakisema wamfunge wala siyo suluhisho ndiyo kwanza watakuwa wanaenda kutengeneza nunda

Ova na kutokubadilika
Atasaidiwa akiwa ndani kwanza akangaliwe kama hatoogopa
 
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa lolote.

Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
Kwa kweli CCM ni adui wa haki hapa Tanzania, hii yote inaonyesha wananchi jinsi walivyochoka na ufisadi hapa nchini, people don't care anymore.
 
Back
Top Bottom