Mind your own business then onyesha unakubali uzuri wake, lakini sio issue uwe nae au usiwe nae hmna kitu utapungukiwa.Sasa wewe jifanye lover boy utazungushwa saaanaa.
Haukua mwaka mzuri kiuchumi ila mambo kadhaa nimejifunza.
1.Watu watakupa thamani(heshima)kulingangana na unachofanya(status).
2.Haijalishi unapitia kipindi kigumu vipi usivae matatizo yako usoni.Vaa vizur,tabasamu,be calm .Muonekano wako wa nje unakutambulisha haraka kuliko kitu chochote be...
Mkuu sijui kuhusu kiasi cha uelewa wako kuhusu mziki ila ngoja nikusaidie kitu.Wasanii wanapofanya feauturing wanaangalia vitu vingi
1.Aina ya mziki anaofanya.Hii uangalia kama ataendana na nyimbo yako husika.mf .Drake ft wizkid (Wizkid was far behind standard za drizzy)
2.Ukubwa wa msanii(na...
Mtoa mada ushauri wako ni mzuri lakini natofautiana na wewe kwamba "UNO"ni mbaya.
Kwenye muziki kuna nyimbo zinacatch haraka na nyingine zinaenda taratibu.Hii nyimbo itakuja kua hit .
Hii kitu imenishangaza kidogo ile ni Pay Tv suala lolote ambalo sio technical halipaswi kumkosesha huduma mteja.Wanamiliki channeli zaidi ya moja wangeweza kuchagua moja na kuomboleza ndugu zetu.
Kukosa penalti ni sehemu ya mchezo wala haina uhusiano na bara..Benin wanacheza defensive football toka hatua za makundi wamedraw mechi zote 3.Morroco open football(high pressing).Siku zote timu za aina ya Morroco lazma zipate shida inapokutana na timu defensive.(hasa ikiwa aggressive )...
Mi nina ndoto 3 sizielewi kabisa
1.Mwaka 2016 niliota watu watatu wamevaa mavaz meupe wanang'aa nikaambiwa nitafanikiwa sana kimaisha na nitakua mtu mkubwa nikiacha kitu kimoja.Mpka sasa sijajua hicho ni kitu gan .
2.Nimeota zaid ya mara 5 nikiwa advance kipindi cha mtihan kimekaribia na somo la...
kifupi ukipewa majibu hayo basi ujue mwanamke ndo anaongoza mahusiano ..she is a CEO .Sasa hapo utaamua kuendelea nae au kutafuta mtu ambaye atakupa mwanaume nafasi ya kua CEO.Real men go for the second option.
Hapa ndo kuna uongo umesema zaidi ya 20 then unakuja kusema kati ya 20 watatu wamefariki kwenye process.Yani meseji tu za usiku mmoja zimeweza kukupa hizi detail zote.nadhani ungefaa sana kwenye intelligence...:):):)
Hakika adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.Yani unatembea na mume wa mtu kumkoa mkewe..its funny.anyway pengine unampenda huyo mwanaume unatafuta justification.
Kuachwa kunauma sana kikubwa ni kukubali kuwajibika kwa matokeo.Usimlaumu mtu jua wewe ni sehemu ya mahusiano kuvunjika haijalishi nan katenda kosa.Hii itakupa nguvu ya kumove on.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.