Recent content by Mkata kimeo

  1. Mkata kimeo

    Kuna baadhi ya wanaume tuna roho za kishetani, leo mpaka nimetoa machozi kwa huyu dada

    Usi asahau kutuletea mrejesho baada ya bibi kumchukua.
  2. Mkata kimeo

    Mabasi yanayokimbia sana kwa sasa Tanzania

    Shambali ya lushoto iende ibwele.
  3. Mkata kimeo

    Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

    Nilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi...
  4. Mkata kimeo

    Utambi Tambi ulivyonikosesha Utamu wa Mama mkwe

    Mpeleke Arusha mkuu umalize mchezo.
  5. Mkata kimeo

    Mtoto aliyeibwa hospitalini mwaka 1964 amepatikana

    Kweli ndiyo yeye kapatikana.
  6. Mkata kimeo

    Uhamiaji Badilikeni: Acheni kufanya kazi kwa mazoea

    Kwa kweli walioleta biashara ya utumwa afrika walaaniwe na vizazi vyao.
  7. Mkata kimeo

    Aibu kuu kwa nchi yangu Tanzania huko Saudi Arabia: Bondia apigwa kipigo cha mbwa koko

    Wakipigwa huwaoni kuchukua bendera ya nchi na kijitangaza kwenye media kua nimepigwa, wakishinda tu chakwanza media.
  8. Mkata kimeo

    Serikali ya wanyonge inapozidi kuwakandamizi wanyonge! Baada ya NHIF, Mamlaka za Maji nazo zapandisha tozo

    CCM OYE EEE sisi wanyonge tulio kosa elimu OOOYEEEEEE natuna weka na kapambio KIDUMU MILELEEEEE.
  9. Mkata kimeo

    Ushauri: Mwanamke wangu kanifanyia haya Je nimsamehe Kweli?

    Mtoa mada inaonekana una lelewa na bidada sio bure.
  10. Mkata kimeo

    Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

    Mkuu bila huyo mama usinge pata kipozeo tena mjali Sana mama kuliko huyo mkeo.
  11. Mkata kimeo

    Pigo jingine kwa wasiojulikana: Waporomoshwa vyeo wote

    Kwahiyo wame julikana.
  12. Mkata kimeo

    Hiki ndio sijapenda kwenye 40 ya mtoto wa Diamond

    Uliona wapi wa zinzi waka liana wivu.
Back
Top Bottom