sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Sikimbuki ilikuwa lini? Ila ninakumbuka ni kupitia hapa Jf niliwai kuwasilisha onyo kubwa kwa viongozi wa kisiasa hasa wale ambao tuliwachagua kwa kura zetu kuacha kutuita sisi watu masikini.
Nilikataaa nikasema wazi kuwa mimi sio masikini na sitaki kuitwa maskini ili hali mimi kwa hiyari yangu kuwapa nafasi walizo nazo hao watu kupitia boksi la kura.
Nakumbuka nilisema wazi endapo nitaendelea kuitwa masikini nilikusudia kufungua kesi dhidi ya watu hao pasipo kuyumba kabisa.
Sasa leo ninakuja kuonya tena nimechoka mimi binafisi na jirani zangu na ndugu zangu kuambiwa kuwa sisi HATUFANYI KAZI, hii kauli inatolewa sana na Raisi wetu ila kwa kifupi mimi nataka nimwakikishie kuwa sisi tunafanya kazi sana udhibitisho wa ilo ni ongezeko la kodi tunazolipa kutokana na kazi zetu.
Kuna ongezeko la kodi linalipwa na ili halitokani na watumishi wa umma tu kwani akumbuke kuwa yeye tangu aingie madarakani hajawai kuongeza mishahara kwa watumishi wenzake hii ina maana kuwa kodi kubwa inatoka kwetu wananchi wa hali ya chini.
Kwa kifupi tumechoka kuitwa wazembe, sasa jambo ambalo anatakiwa alijue yeye ni kuwa sisi tunachapa kazi na tunaposema kuwa MTAANI HAKUNA PESA tuna maana kuwa mfano zamani ilikuwa kujenga msingi wa vyumba vinne ni shilingi 1200,000 sasa hivi ni shilingi laki400,000 kujenga msingi nakwambia achia pesa sisi tunao chapa kazi tulipwe tunachostaili au tulipwe kile kijachoendana na kazi tuliyoifanya sawasawa na wewe unavyobana pesa halafu ulipwe kidogo ila najua wewe unajichotea tu maana hizi unazogawa sjui za toka wapi? Ni mshahara au ni?
Nilikataaa nikasema wazi kuwa mimi sio masikini na sitaki kuitwa maskini ili hali mimi kwa hiyari yangu kuwapa nafasi walizo nazo hao watu kupitia boksi la kura.
Nakumbuka nilisema wazi endapo nitaendelea kuitwa masikini nilikusudia kufungua kesi dhidi ya watu hao pasipo kuyumba kabisa.
Sasa leo ninakuja kuonya tena nimechoka mimi binafisi na jirani zangu na ndugu zangu kuambiwa kuwa sisi HATUFANYI KAZI, hii kauli inatolewa sana na Raisi wetu ila kwa kifupi mimi nataka nimwakikishie kuwa sisi tunafanya kazi sana udhibitisho wa ilo ni ongezeko la kodi tunazolipa kutokana na kazi zetu.
Kuna ongezeko la kodi linalipwa na ili halitokani na watumishi wa umma tu kwani akumbuke kuwa yeye tangu aingie madarakani hajawai kuongeza mishahara kwa watumishi wenzake hii ina maana kuwa kodi kubwa inatoka kwetu wananchi wa hali ya chini.
Kwa kifupi tumechoka kuitwa wazembe, sasa jambo ambalo anatakiwa alijue yeye ni kuwa sisi tunachapa kazi na tunaposema kuwa MTAANI HAKUNA PESA tuna maana kuwa mfano zamani ilikuwa kujenga msingi wa vyumba vinne ni shilingi 1200,000 sasa hivi ni shilingi laki400,000 kujenga msingi nakwambia achia pesa sisi tunao chapa kazi tulipwe tunachostaili au tulipwe kile kijachoendana na kazi tuliyoifanya sawasawa na wewe unavyobana pesa halafu ulipwe kidogo ila najua wewe unajichotea tu maana hizi unazogawa sjui za toka wapi? Ni mshahara au ni?