Inasikitisha sana kwa baadhi ya traffic polisi kukosa maadili mema ya kiutumishi. Ndugu zetu hawa jukumu lao ni kulinda raia na mali zao lakini baadhi yao hafanyanyi hivyo. Wamekuwa wanachukua rushwa pasipo woga. Imenitokea leo mitaa ya Bago karibu na Msata - Bagamoyo.
Nilisimamishwa na...
Hata Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mlimba naye changamoto kubwa anajfanya anajua kila kitu na Watumishi wake wengi wanahama. Anazingua sana huyu jamaa aisee, anawatesa na kuwanyanyasa Watumishi anaifanya ofisi kama mali yake.
wewe unajua shughuri za ufuatiliaji na mazingira ambayo yanawakabili maifisa elimu..? Embu siku moja jaribu ww na Toyota IST yako kuifuta Toyota Land Cruiser semehu inazopita. Hoja yangu miaka mitano ni sawa tu kwa kuwa magari mengi ya serikali yanafanya kazi katika mazingira magumu, lakini pia...
Mbona mwendo kazi hayakamatwi? Na sometimes huwa zinajazaga abiria wengi kuliko kawaida.....? Hii sio poa jamani Askari wetu muwe mnafuata maadili ya kazi
Mguzo imeoza chini hivi ninavyoandika hapa nguzo haifai na inahatarisha maisha ya watu muda wotewote itanguka na kusababisha madhara kwa watu na mali zao. Hii nguzo ipo mtaa wa mwembe yanga kata ya magomeni. tumeshaenda Tanesco kutoa taarifa yapata miezi mitatu sasa hakuna matumaini yoyote...
TANESCO Bagamoyo mnazingua hasa kitengo cha emergence hamfanyi vizuri mnashindwa kutatua dharula wa wateja wenu kwa wakati mnaweka mazingira ya rushwa, matatizo yapo kwenye kubadilisha mita pale zipohitajika kubadilishwa, kubadilisha nguzo zilizooza nk.
Mnachukulia maisha ya watu poa watu...
Brother peleka dogo katika shule za government kuanzia primary mpaka chuo kikuu kingereza sio ishu kama dogo yupo vizuri, kwanza asikuambie mtu zipo shule za serikali nyingi ziko vizuri kuanzia walimu, mazingira, learning materials na watoto wanafanya vizuri achana na mambo za private brother...
Gwjm Mzee wa pangaboi bin miuno isiyo mfupa amekalia kuti kavu kwenye mnazi ambalo 2020 hii litaanguka pasipo shaka kwa zambi za kungonoka, kutukana dini za watu na hata viongozi wa dini. Mimi MKAMA NDUME can't cast vote for him yy aendelee na miuno yke ya Zipompa pompa makalio meusi kama blk kiwi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.