mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,468
unajua mkuu, siku zote mtu anaefata sheria barabarani na hana dosari hua hata trafiki wanamuogopa!?.. daladala wengi gari zao zina makosa kwahyo wanakua kwenye disadvantage sana hata haya magari makubwa mkuu baadhi ambayo hayafanyiwi servicw mara kwa mara hua wanapigwa sana ila yale yaliyokua na service na hayana makosa hata madereva wanakuaga wakorofi kwa trafiki..
Uzi nimeleta kwa sababu mara kadhaa nimewahi sikia hao madereva na makonda unakuta ikifika jioni wakitoa pesa ya mafuta na hesabu unaweza kuta inabaki mfano elfu 30 na wako wa tatu.Sasa fikiria umeamka saa 10 alfajiri inafika saa nne usiku una elfu 30 mgawane watu watatu na unafamilia hayo maisha unadhani yatakua ya namna gani? Waoneeni huruma wazee
so all in all, wao makosa yao madereva wanashindwa kutatatua kwakua wanajua nikimpa 2000 trafiki atatuachia tu,.