Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,572
- 4,241
Inaonekana tatizo la msingi sio wakulima baliSijaelewa! Wachome kwa makusudi ili wavune kwa dhalura, tatizo lipo toka miaka ya 1980, serikali ichukue hatua afu siasa iingie
ni KUCHELEWA KUVUNWA MIWA KWA WAKATI
Inamaana wananchi wanachoma ili kushinikiza kiwanda kivune.
Kwa maana hiyo, uongozi wa Serikali ungetumia busara kushuhulikia tatizo la msingi na sio hilo la kukataza miwa isivunwe. Hao wananchi wamesha kosea ni kuwasaidia wakati tatizo la msingi likitafutiwa uvumbuzi...