mkamandume
Senior Member
- Dec 31, 2016
- 116
- 120
Inasikitisha sana kwa baadhi ya traffic polisi kukosa maadili mema ya kiutumishi. Ndugu zetu hawa jukumu lao ni kulinda raia na mali zao lakini baadhi yao hafanyanyi hivyo. Wamekuwa wanachukua rushwa pasipo woga. Imenitokea leo mitaa ya Bago karibu na Msata - Bagamoyo.
Nilisimamishwa na traffic kwa ajili ya speed ambayo ilikuwa 54 basi jamaa akaanza kumuambia kuwa nimeova speed hivyo lazima niandikiwe nilepe faini. Niliomba msamaha afande akanigomea na kunisisitizia lazima nilipe. Nikaona isiwe tabu wacha tu nitii sheria bila shuruti.
So alivyoona nimekaa kimya akaniambia nimpe pesa aniachie alisema "toa pesa uende zako" nikasema siwezi toa pesa wewe andika tuu basi akaniandikia kwa bahati mbaya akakosea namba ya gari akaandika namba ya gari nyingine ambapo nilijua hilo baada ya kuondoka katika tukio.....
Nilipo rudi nyumbani nikawaeleza jamaa kuhusu tukio hilo na wao walisema "baadhi ya trafic polisi wa Msata wanakula sana rushwa tena wanaomba uvunje tu sheria ya barabarani ili wafanye bargaining..." Tena kuna trafic mmoja anaitwa afande Bwile is one among the most corrupted officer. Rai yangu kwa IGP kufanya ufuatiliaji wa hawa watu kwa kuwa wanalidhalilisha Jeshi......na hawa traffic wa Msata wafuatulie.....
Nilisimamishwa na traffic kwa ajili ya speed ambayo ilikuwa 54 basi jamaa akaanza kumuambia kuwa nimeova speed hivyo lazima niandikiwe nilepe faini. Niliomba msamaha afande akanigomea na kunisisitizia lazima nilipe. Nikaona isiwe tabu wacha tu nitii sheria bila shuruti.
So alivyoona nimekaa kimya akaniambia nimpe pesa aniachie alisema "toa pesa uende zako" nikasema siwezi toa pesa wewe andika tuu basi akaniandikia kwa bahati mbaya akakosea namba ya gari akaandika namba ya gari nyingine ambapo nilijua hilo baada ya kuondoka katika tukio.....
Nilipo rudi nyumbani nikawaeleza jamaa kuhusu tukio hilo na wao walisema "baadhi ya trafic polisi wa Msata wanakula sana rushwa tena wanaomba uvunje tu sheria ya barabarani ili wafanye bargaining..." Tena kuna trafic mmoja anaitwa afande Bwile is one among the most corrupted officer. Rai yangu kwa IGP kufanya ufuatiliaji wa hawa watu kwa kuwa wanalidhalilisha Jeshi......na hawa traffic wa Msata wafuatulie.....