Recent content by mKaLI_mOkO

  1. mKaLI_mOkO

    Mwananchi: Kashfa nzito "michoro ya ZOMBI amesahau viatu & Mess"

    Mfumo wa elimu ni wa kiboya sana...... Shule za kata zifutwe zifundishe ufundi stadi labda itawasaidia wadogo zetu or else ni majanga juu ya majanga kwenye sekta ya elimu Tanzania.
  2. mKaLI_mOkO

    Athari za Matokeo ya Kidato cha IV 2012: Vyuo Vingi Kukosa Wanafunzi wa Kudahil

    Kama ni rahisi kumtawala mjinga kuliko mwerevu, kwanini usifanye juu chini kutengeneza wajinga ili uwatawale vizuri?!
  3. mKaLI_mOkO

    Mwananchi: Kashfa nzito "michoro ya ZOMBI amesahau viatu & Mess"

    Waalimu wana mazingira magumu kiufundishaji, wanafunzi wenyewe nao tatizo pia.... Serikali yaweza kua chanzo kikubwa cha kufeli kwa wanafunzi wa kidato cha nne, ila naamini na hao wanafunzi nao ni tatizo maradufu. Watoto hawaoni shida kuandika mambo ya ajabu kwenye mtihani, nidhamu ya...
  4. mKaLI_mOkO

    Dr. Thomas Kashilila apingana na Spika Makinda kuhusu bunge kurushwa 'LIVE'

    Sasa kwa mwananchi kama mie ambae hata hilo bunge kuoneshwa "live" ilikua utata kidogo kufatilia kwa sababu za hapa na pale, je kutolionesha "live" si ndio ntapotea kwnye ramani kabisa?! na kama hizo footage zitakua edited wapi transparency ya serikali na mihimili yake tuliokua tunafundishwa...
  5. mKaLI_mOkO

    Clouds FM (Power Breakfast): Ni sahihi kabisa Bunge lisionyeshwe LIVE!

    Wawe(watangazaji) wanasema wanawakilisha mawazo binafsi.. huo uwazi na ukweli unadhihirishwa kwa kutoonesha mikutano ya bunge "live"?! ni ujuha wa hali ya juu kusitisha jambo la msingi kwa sababu zisizo za msingi.
  6. mKaLI_mOkO

    CHADEMA yawapa raha watanzania: Taifa Lazizima

    umenena vema ndugu muwasilishaji, hakika chama cha ******* kimepata fundisho.. TAIFA KWANZA MUNGU IBARIKI TANZANIA
  7. mKaLI_mOkO

    matokeo ya kidato cha 1V shule zenye majina ya viongozi

    viongozi wengi ni vilaza hivyo hawana mwamko na hamasa ya kukazia mwenendo mzima wa taaluma katika shule zinazobeba majina yao.... waaaaiiii!!!!na hiyo shule ya mkuu wa nchi ndio buuure kabisa ka yy mwenyewe:frusty:
  8. mKaLI_mOkO

    Samwel Sitta ashangiliwa sana UDSM

    ukitaka kujua huyu jamaa ni mnafiki tembeleeni jimboni kwake urambo.....hafai hata kidogo huyu sita (6).
  9. mKaLI_mOkO

    Tanzania: Land of constant complaints. The country seems well, but corruption is rampant!

    I personally liked the article though His/Her views are typically from an outsider. As for us indigenous people We have far better knowledge of our problems. Questioning our government concerning sensitive national issues are not complaints, but they seem so beacause they keep echoing almost...
  10. mKaLI_mOkO

    Waziri Tibaijuka awafutia vigogo hati za ardhi

    Ni lini Tanzania tutaexercise transparency ya kweli...waziri atujuze hivo viwanja na wamiliki wao waliofutiwa hati.
  11. mKaLI_mOkO

    man utd aiadhibu arsenal fc

    hata sina wasi wasi na Livafools kabisa, kwa mechi nilizoangalia za hao jamaa they r not a big threat labda ndugu zetu man city.... tuko on fire saivi.....
  12. mKaLI_mOkO

    man utd aiadhibu arsenal fc

    kwa kipigo cha kihistoria kabisa kuwahi kutokea kati ya man utd na arsenal , 8-2 hatimaye msiba mkubwa sana umepelekwa kwa jamii ya washika bunduki wa jiji la London. kijana etu Welbeck alianzisha hiyo mvua ya mawe na kupisha njia Rooney, Ashley Young na Ji Sung.... kipa wetu bwana mdogo De Gea...
  13. mKaLI_mOkO

    Habari mbaya kwa 2nd year wa udsm-COET.

    nakuunga mkono kwa asilimia nyingi sana.....wadogo zetu wanahitaji sana elimu kuhusu course za vyuo vikuu ili wasije potezana.
  14. mKaLI_mOkO

    Habari mbaya kwa 2nd year wa udsm-COET.

    maganga mkweli umenena vema sana, mie nilikua mwanafunzi wa CoET na sasa niko CoICT kuna mengi yanayochangia ndugu zangu kudisco. 1st n foremost mfumo mzima wa elimu ya uhandisi pale CoET, ukitaka ufaulu sana somea CoET kwa kua utakutana na past pepaz na madesa ya kutosha. tunaosomea mbali na...
  15. mKaLI_mOkO

    Kikwete aambiwa abebe mizigo yake!

    JK mwenyewe ni gamba kama ana uzalendo wa kweli ajivue.....hata mwaka hajafikisha awamu hii nchi ishamshinda hii.
Back
Top Bottom