Nasisi hatukulia bali tuliamua tusiwaambukize korona ndio tukaona na nyie msitue kwetu ili msipate corona sasa kwanini manaanza kubadilisha maamuzi nakutoa maelezo yasiyokuwa na tija , kila mmoja angebaki kwake mbona manalilia kuja tz si mngepotezea tu.
UDOM ni chuo kizuri kipo top ya vyuo bora Tz na kimeanza juzi tu ,ndio hata huyo anayelalamika anamiss kwenda hapo karibu UDOM upate elimu uitakayo na mzingira na ujiandae kupiga msuli ipasavyo la sivyo utarudi home, lilikuwa tatizo la kiufundi tu
Kwasasa fani ya ualimu ndio inayochukua watu walifaulu kuliko fani zingine zote bila kuwa na dvn 1_3 huwezi kwenda kusomea ualimu usiendeleee kulalaa usingizi mzito hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.