Recent content by mkaamweusi

  1. mkaamweusi

    Unafanya nini ili usifilisike na usipotee kwenye ramani? Nafsi yangu inangia huzuni na hofu nikikutana na waliofilisika

    Dah kuna mfanyabiashara mmoja alikuwa na utajiri wa majumba,magar ya biashara,maduka na maghara ya kuhifadhia mizigo ton kwa ton,but ulivyoingia utawala ule,alianza kufilisiwa kimoja badala ya kingine, Alikimbia mji,na kurudi kwao rombo sidhani hata alikuwa na akiba ya 100k
  2. mkaamweusi

    NMB dhibitini huu uhuni unao endelea kwenye benki yenu

    Hii iliwahi nitokea miaka hiyo napokea "boom" waliniambia hii pesa "ilipigwa" nilisumbuliwa sana mpaka nikaenda kwa meneja wa kanda town Niliingiziwa pesa lakini walinikata gharama ya kuingiziwa pesa,yaani nawadai 100k,wakaweka 98500 Na benki ni hiyo hiyo mpaka leo sina imani nao
  3. mkaamweusi

    Kwa wanaume wanaotarajia kupata watoto

    Eti kisa sikuleta nilichoagizwa,akaniambia nimuombe msamaha,kwa kupiga magoti. Nikamwambia sifanyi huo ujinga,mbona alizaa vizuri tu Vingine Usipelekeshwe tu kama ling'ombe.
  4. mkaamweusi

    Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

    Hiyo ni biashara sio ujasirimali, kama hujapata fursa ya ujasiriamali endelea na biashara tu mkuu, usije ukaupoteza hadi mtaji.
  5. mkaamweusi

    Msaada jamani hiki ni nini?

    Duuh aisee pole sana,ngoja waje.
  6. mkaamweusi

    Business partner mwenye mtaji usio chini ya milioni 10

    Kwa lugha nyingine ni kwamba unatafta meneja wa biashara yako, Kigezo muhimu aweze kuchangia 10ml.
  7. mkaamweusi

    Dodoma Bei ya viwanja-Ilazo

    Ulipata kwa ngap?
  8. mkaamweusi

    Kwa Milioni 30, UTT amis na nyumba ya kupangisha kipi bora?

    Utt amis ni soko la hisa, Hisa sokoni zinaweza kupanda au kushuka unatakiwa ulijue hilo,na ulielewe Usije ukaleta fujo,siku unaambiwa mil 10 yako thamani yake imeshuka mpaka 4m.
  9. mkaamweusi

    Plot4Sale Nauza kiwanja Changu Magomeni Mtwara

    Wadau bado kipo,kuna kingine cha sqm 1003 hati wizara pia nakiuza,karibuni
  10. mkaamweusi

    Nilivyonusurika kutapeliwa Mawakala kuweni makini

    hadithi za kufikirika 1.Hakuna tapeli mjinga wa kutoa elfu kumi ya soda kila anapokuja kufanya muamala. 2.Hulka ya binadamu lazima ustuke,faida ya muamala mmoja tu haifiki hata 5000. mathalani mtu akitoa 3,000,000 Faida/Mrejaa/Commission ya wakala ni SH 2500 tu. mtu akiweka 1,000,000 faida...
Back
Top Bottom