Recent content by mkaa juu

  1. M

    Morogoro: Watu 9 wakamatwa Msikitini wakiwa na vifaa vya mlipuko

    Hiyo ni ileee sinema ya contener la visu la cuf wakati wa IGP Mahita,na wakati wa Richmond mkapelekwa kwa babu Loliondo,sasa ni mchakato wa katiba,propoganda ni ugaidi ili katiba msahau,chezea ccm wewe,mtabutuzwaaa mpaka kamasi zitokee mdomoni,ukweli kwa akili ya haraka,nikiangalia hao...
  2. M

    Tafakuri yangu: Waislamu wanaonewa au wamekosa elimu?

    Wewe mazimbu ni ------ tu km mtoa mada wote ni mbumbumbu nendeni mkanyonye,hamuelewi historia ya kweli ya nchi hii,na kawaida ukitaka kutoa mada yoyote,kwanza uwe mkweli na ufanye utafiti siyo kukulupuka tuu,na kujifanya unaongea masuala ya dini,
  3. M

    Internet ni project CIA - rusia

    Mkuu naomba ni pm nielewe na mm
  4. M

    Natafuta makaunta

    Unaona raha kuwauzia wenzako vilevi eee??,tafuta biashara ingine ya kufanya hiyo utakuwa unalaaniwa na mungu wako kila siku!!,ni ushauri tu lkn!!,
  5. M

    MKE HUTAKIWI KUTUMIA NGUVU SANA KUIENDESHA HII BAISKELi

    Uchanga wa tanzania labda kwa technology lakn kwa uchumi siafiki sana,japo kuna ukweli kdg lkn mfumo wa siasa zetu za ndani ni tatzo sana,
  6. M

    hi to all jf members....!

    Ok,man!!!
  7. M

    hi to all jf members....!

    Haa haa!!,is it sure?,promise never happen tena kabsa kabsa!!,
  8. M

    Tanzia: Nimempoteza baba mzazi leo mchana Muhimbili Hosp

    Pole sana hakika umempoteza mpendwa wako wa kweli,mungu akupe wepesi katka hilo amiiin,
  9. M

    hi to all jf members....!

    Karibu mpaka home c jf tu,
  10. M

    MKE HUTAKIWI KUTUMIA NGUVU SANA KUIENDESHA HII BAISKELi

    Na kwa maana ingine naona dereva wa baskeri hiyo c j.k au yeyote atakayemfuta peke yao,mm naona madereva halisi ni wananchi!!.
  11. M

    MKE HUTAKIWI KUTUMIA NGUVU SANA KUIENDESHA HII BAISKELi

    Hapana hajahamasisha vurugu hapo,ndio maana kasema hutakiwi kutumia nguvu kuendesha hiyo baskeri,ss ni hiyari yako!!!!!!,
  12. M

    Kardinali Polycarp Pengo ahofu Serikali Tatu zitavunja muungano!

    HAkika hii ni hatari,ni tanzania hii yenye serikali isiyo na dini?,au hayo mahindi ni ya pengo na si ya serikali?,
  13. M

    Haya ndo mambo ya tusiime primary school

    Usikimbilie kwenye udini,angalia madai wanayotoa hao wanaodai kufelishwa,yachambue kwa makini ukiwa km mtanzania msimamia haki,na sio mdini utapata jibu.
  14. M

    Kardinali Polycarp Pengo ahofu Serikali Tatu zitavunja muungano!

    Kaka hapo umesema sema sana,yaani ni short and clear!!,hilo ndio tatizo kubwa la pengo!,
  15. M

    Mwanamke kidole na macho, kama unaweza kamtie kamba umzuie!

    Umeongea vizuri sana dada,ila kupata mwanamke mwenye hekima kama ulivyotaja ni bahati na inategemea wazazi wake walimlea katika maadili mema,na dunia ya leo mwanamke km huyo ni kipusa yaani mali adimu!!,
Back
Top Bottom