Karibu sana,
Kama wewe ni ke please call
Arushaone,
na kama ni me call mke wa huyo huyo hapo juu.
[TD="class: xl67, width: 119"]Zaburi[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]27[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]1[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737"]Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani? [/TD]
[TD="class: xl67"]Zaburi[/TD]
[TD="class: xl65"]27[/TD]
[TD="class: xl65"]2[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737"]Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka. [/TD]
[TD="class: xl67"]Zaburi[/TD]
[TD="class: xl65"]27[/TD]
[TD="class: xl65"]3[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737"]Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa. Vita vijaponitokea, Hata hapo nitatumaini. [/TD]