Mbasamwoga,
Pole sana kwa kutooelewa unacholipia, ingawa unaelewa lengo la kuanzisha mamlaka za TCRA, SUMATRA, FCC, EWURA na kadhalika. Kwanza kabisa, si kweli kuwa matunda bora ya kuwa EWURA huyaoni. TANESCO ilipoomba nyongeza ya bei za umeme ya asilimia 36 na Serikali kubariki ombi hilo...