mbasamwoga
Member
- Jul 6, 2011
- 70
- 12
Tanzania ina mamlaka kadhaa zikiwemo tfda, tcra, sumatra, ewura n.k
lengo hasa la hizi mamlaka zilikuwa kuhakiksha mtanzania anapata ubora na unafuu katika maeneo husika ya hizi mamlaka. Lakini badala yake hizi mamlaka leo zimegeuka mzigo kwa watanzania.......
Chukulia mfano ewura....
Kila ukinunua umeme kwa luku wanakata asilimia 20 ya hela yako. Mfano ukienda kununua umeme wa 10,000/ wanakata 2,000/
jamani ewura.......
Kila lita moja ya mafuta wanaongezea tsh. 200/ yaani badala ya dizeli kuuzwa 1700 itauzwa 1900 ili ewura wapate mgao
bado kwenye maji mchezo uko vilevle
bado kwenye gesi mchezo uko vilivile
yaaaaaani nasikia hasira. Hivi hii ewura haina mgao wa bajeti serikalini?????????????? kwanini inawanyonya watanzania?????
nimechoka na huu utawala niliwapa kula yangu kwa makosa sana, eee mungu nisamehe.......................
Hebu wataalamu mnisaidieni kweli ewura wanategemea hivi vijisenti.......... Au wanatafuta za kuchangia mpitisho wa bajeti???????
Nataka majibu wadau mnafanya mpaka mzuka unapanda niipasue laptop yangu......
lengo hasa la hizi mamlaka zilikuwa kuhakiksha mtanzania anapata ubora na unafuu katika maeneo husika ya hizi mamlaka. Lakini badala yake hizi mamlaka leo zimegeuka mzigo kwa watanzania.......
Chukulia mfano ewura....
Kila ukinunua umeme kwa luku wanakata asilimia 20 ya hela yako. Mfano ukienda kununua umeme wa 10,000/ wanakata 2,000/
jamani ewura.......
Kila lita moja ya mafuta wanaongezea tsh. 200/ yaani badala ya dizeli kuuzwa 1700 itauzwa 1900 ili ewura wapate mgao
bado kwenye maji mchezo uko vilevle
bado kwenye gesi mchezo uko vilivile
yaaaaaani nasikia hasira. Hivi hii ewura haina mgao wa bajeti serikalini?????????????? kwanini inawanyonya watanzania?????
nimechoka na huu utawala niliwapa kula yangu kwa makosa sana, eee mungu nisamehe.......................
Hebu wataalamu mnisaidieni kweli ewura wanategemea hivi vijisenti.......... Au wanatafuta za kuchangia mpitisho wa bajeti???????
Nataka majibu wadau mnafanya mpaka mzuka unapanda niipasue laptop yangu......