Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga, Mti Mkavu (1940-2011)

week iliyopita tbc walionyesha jinsi huyu mpiganaji shupavu alivoongoza majeshi yetu kumtoa nduli iddi amin
mungu amlaze mahali pema peponi,jamaa aliipenda nchi yake kwa moyo wake wote
 
RIP general. Ulipigana vita vilivyo vizuri, na Tanzania ukailinda! We will always be proud of u. Seba akujiwe!
 
R.I.P. Generali Mti Mkavu!

Tangulia Kamanda, mchango wako kwa Taifa hili daima utakumbukwa!
 
Nami nimemkumbuka jinsi viongozi wa majeshi yetu walivyokuwa na nidhamu na nidhamu hiyo kuisambaza hata kwa askari jambo lililopelekea kushinda vita. Pia pale mjini BKB kuna sanamu inayofanana na yeye ambayo wenyeji wanaita oluwanja lwa mayunga au omwa mayunga.
 
Hakika Rtd. Major General Silas Mayunga alikuwa shujaa na kipenzi cha watu. Nilikutana naye mijini Bukoba akitembea kwa mguu, ndani ya combat, bastola moja kulia, ya pili kushoto mwaka 1978 akila zoezi la kumkamata Idd Amini kwa mikono yake. Alitoa ahadi kwa Amiri Jeshi wa wakati huo (Mwalimu) kuwa atahakikisha hamui bali atamkabidhi kwake akiwa hai. Nduli alipojuzwa mkwara huo alisepa haraka kupitia Sudan. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Rtd Major General Mayunga pahali Pena peponi.
 
RIP kamanda,moja ya makamanda bora Taifa iliopata kuwa nao.I hope kuna vijana wadogo waliochagua kutumikia jeshi watapenda kufuata nyayo zake. Alikuwa ni kiboko kwa lugha ya kijeshi ndio wanaotakiwa watu wasiotaka mzaha wala uzushi.
 
R.I.P Bwana Shemeji japo Wanao Mpaka Saa Hii Hawajafahamu Nimewacheki kudodosa kiaina Wacha wahusika Waanze kutoa Taarifa za Ukweli Ndipo Niamini
 
Nami nimemkumbuka jinsi viongozi wa majeshi yetu walivyokuwa na nidhamu na nidhamu hiyo kuisambaza hata kwa askari jambo lililopelekea kushinda vita. Pia pale mjini BKB kuna sanamu inayofanana na yeye ambayo wenyeji wanaita oluwanja lwa mayunga.

Nidhamu ni jambo la msingi sana Jeshini,msingi wa jeshi lolote lile katika kushinda vita na kudhibiti uhalifu ni nidhamu ya jeshi

Kuna profesa mmoja alikuwa akifundisha kila Topic ni lazima asizitize nidhamu ya unachokifanya...na kweli ukiangalia katika mambo ambayo ameshawahi kufanya na wanafunzi wake aliowafundisha msingi wa mafanikio yao kidiplomasia,usalama na kijeshi unatokana na NIDHAMU,si mwingine ni Major General ambassador Dr. Yitzakh .Huyu ni viziting professor kutoka Galilee University ya Israel,bila shaka kama kuna wanafunzi wake huku wanajua thamani ya mchango wake,i wish wanajeshi wetu na maofisa usalama na au kama angepata fursa ya kutoa lecture siku moja chuo cha diplomasia pale Kurasini

Sehemu anazomudu zaidi ni

The meaning of strategic intelligence,methods of intelligence collection, intelli­gence analysis,the danger of intelligence politi­cization,relationships between intelligence offi­cers and the policymakers they serve,covert action, counterintelligence,accountability and civil liberties, and intelligence as practiced in other nations.


Pia watu kama Gen mayunga wangestahili na wangekuwa hazina sana kwenye chuo kipya cha kijeshi kilichozinduliwa na Jenerali Shimbo.Hili ni pigo kubwa katika idara ya Ulinzi na Usalama.


 
Hakika Rtd. Major General Silas Mayunga alikuwa shujaa na kipenzi cha watu. Nilikutana naye mijini Bukoba akitembea kwa mguu, ndani ya combat, bastola moja kulia, ya pili kushoto mwaka 1978 Akita ya zoezi la kumkamata Idd Amini kwa mikono yake. Nduli alipojuzwa mkwara huo alisepa haraka kupitia Sudan. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Rtd Major General Mayunga pahali Pena peponi.
 
Hakika Rtd. Major General Silas Mayunga alikuwa shujaa na kipenzi cha watu. Nilikutana naye mijini Bukoba akitembea kwa mguu, ndani ya combat, bastola moja kulia, ya pili kushoto mwaka 1978 Akila ya zoezi la kumkamata Idd Amini kwa mikono yake. Alito ahadi Amiri Jeshi wa wakati huo (Mwalimu) kuwa angemkamata na kumkabidhi kwake akiwa hai. Nduli alipojuzwa mkwara huo alisepa haraka kupitia Sudan. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Rtd Major General Mayunga pahali Pena peponi.
 
Hakika Rtd. Major General Silas Mayunga alikuwa shujaa na kipenzi cha watu. Nilikutana naye mijini Bukoba akitembea kwa mguu, ndani ya combat, bastola moja kulia, ya pili kushoto mwaka 1978 Akila ya zoezi la kumkamata Idd Amini kwa mikono yake. Alito ahadi Amiri Jeshi wa wakati huo (Mwalimu) kuwa angemkamata na kumkabidhi kwake akiwa hai. Nduli alipojuzwa mkwara huo alisepa haraka kupitia Sudan. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Rtd Major General Mayunga pahali pema peponi.
 
RIP Mti Mkavu (Hauchimbwi dawa).<br />
<br />
Kama Mwanajeshi alikuwa juu sana ila alipoingia kwenye Siasa na kuwa Mkuuwa Mkoa, nafikiri ilimshinda (nisahihisheni kama nimekosea).
<br />
<br />
Ulale pema Kamanda.

Kumbukumbu zangu zinasema baada ya vita alipelekwa kuwa balozi Nigeria.
 
Kalale Pema Peponi kamanda! kalale pema peponi kamanda.! ishakuwa huzuni kwa Ndugu na Masela!!!!
 
wakuu taarifa za uhakika nilizopata kutoka nchini india kuwa mpiganaji wetu shupavu na kiongozi mwadirifu, luteni gerenali silas mayunga hatuko naye tena, amefariki leo katika hospitali ya apollo new delhi, india ambako alikuwa amelazwa tangu mwezi, julai 2011.

Generali mayunga atakumbukwa kwa mengi kwa jinsi alivyotumikia taifa letu kwa utumishi uliotukuka, atakumbukwa daima kwa jinsi alivyoongoza mapambano ya vita vya kagera kumng'oa nduli idd amin.

M/mungu ailaze roho yake mahali pema. Rip.

polen wakuu wote mungu awape uvumilivu ingawa alifarikisikutano zilizopita ndugu walikuwa wanahojiana kukubali kuchomoa mashine ya kupumilia kama aliokuwa anatumia mh nyerere baada ya kupata ushauri toka kwa dk kazi ya mungu imeisha mnaamuawaje..mungu awalinde na kuwasaidia msafirishe salama

bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe kwaheri kipenzi chetu
 
Back
Top Bottom