Awo umeeleza vyema ila ukumbuke kuwa vimishahara hapa bongo vipo chini sana hasa kwa watumishi wa serikali ila wangeweza kuanzisha mfumo ambao hizo posho zingehesabiwa kwenye mshahara (au zilipwe pamoja na mshahara) kama za likizo, incentives, perdiems, nk kama wanavyofanya nchi nyingi za Ulaya na hata Japan
Tuwalipe vizuri sana tu ila wajihudumie wenyewe. They have to be responsible.