Recent content by Mjusi_kafiri

  1. Mjusi_kafiri

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Duuuh, ni tanzania hii hii niliyopo mimi[emoji16] Biashara nje nje dadeki
  2. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Anaenda villa park bila Rodrigo.
  3. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Game 3 sasa, hajazipata hasira tu bado? Maana ni jambo la kushtua kidogo city kwenda game mbili mfululizo bila ushindi,jambo la kushangaza zaid game ya 3 leo bila ushindi hii ajabu kweli kwa city
  4. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Asante sana ndugu, ngoja nilifanyie kazi hili suala taratibu nikiwa nmetulia
  5. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    @mkorea
  6. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Daah yan tunai solve vipi mzee maana kila baada ya mda naitajika ku update email, kila ivyo naishia kungalia tu maoni ya watu sichangii chochote , comment zinagoma kabisa, naambiwa change email nikichange naambiwa ina Account tayari
  7. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bora Saka kidogo jesus aliweka kufit eneo lake vizuri tu kwenye game na city Kidogo kidogo tunaziba mianya saivi mwaka jana aslimia 60 tulikua tukikosa baadhi ya wachezaj tunakua na wasiwasi kama Partey Saka Nelly Saliba GM6 Ode Ila msimu huu hata wavimba macho wamebaki na majina mawili tu ni...
  8. Mjusi_kafiri

    PreGE2025 Wanaotajwa Urais 2025 na 2030. Twende na yupi?

    Toto Tundu ana u jiwe (r.i.p) fulani ivi ndani yake. Kazi ipo
  9. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Msaada 📌Nilikua nina account ya jamii forum hapo nyuma kidogo kwenye kujisajili ni lazima kutumia email, iyo account niliiacha kutokana na sababu mbalimbali. 📌 Now nina account hii na ndo naitumia ila nilijisajili kwa email nyingine kabisa ambayo haiko active. 📌naomba msaada jinsi ya...
  10. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kama tunamtaka tutawafanyia kitu mbaya kama tulivyofanya kwa Rice.
  11. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Watazitema tu dadek zao
  12. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    William Saliba: "When a team beats us, we want to then beat them. We watched videos from the first match (vs Lens), looking at what we did well and what we did poorly and that worked. At home, it was easier for us." [Canal+ via GFFN] [emoji419][emoji419]Aliyepata japo pointi moja mzunguko wa...
  13. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji16][emoji16]
  14. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nakumbuka wakati hawa Lens wanatupiga bao kule kwao, kuna qatu walikuja kulishambulia hili jukwaa na kumlipiga sana Spana Hamis nakumbuka kauli moja ya hamisi alisema ""ivi hawa Lens kama Arsenal angekua anataka point tatu ili afuzu hatua inayofuata angeweza ubavu wa kupishana na Arsenal""...
  15. Mjusi_kafiri

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna game baadhi hua zikichafuka yan arsenal tunatafuta goli kwa udi na uvumba kwenye dakika 80+ li Gabriel hua linapiga forward pass za hatari aisee hadi hua nashangaa ili jamaa linauwezo mkubwa kiasi hiki.
Back
Top Bottom