Haya wenye jicho la tatu wameliona hilo.hakika si kila mtu anaweza angazia huo uchafu kwa haraka haraka.mkuu uko smart.good
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani walioandamana us hawana kazi
Au we ulidhani wazungu nao wataandamana
Haya ni maandamano ia Tz tu
Anyway kama binti mmoja analighalimu jeshi mamilioni je akiamua jila mwezi atangaze maandamano nchi si itafilisika
Yani mmm binti mmoja ndo anatesa askari wote hao je wakija alshabab
Huwa nawaonea sana huruma akina dada
Wao wakiamua kupenda wanapenda sana na kwa moyo mmoja .Tatizo ni kwa wanaume kwakweli wanaume wanawatesa sana dada zetu kwa kuwatumia kama burudani.
Ni ngumu sana kukutana na mwanaume anayependa mmoja tu.
Unaachana na mwanaume huyu baada ya kuimizwa sana...
Huwa naangalia mijadala ya wabunge wetu na majibu ya mawaziri wetu nasikitika sana
Nchi ya Malaysia walipo amua kitoka kwenye umaskini hawakuwa na wabunge wajingawajinga kama hawa hawa akina kibajaji
Unaona kabisa taifa linaviongozi wa hovyo hovyo ambao kwa uhakika hawawezi fusha nchi popote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.