Hlw, samahan naomba kuuliza mfano kama mtu ana model number ya tv yako anaweza kuifunga isionyeshe pic au kuondoa mwanga?
Koz tv yangu ghafla leo imeanza kufifia mwanga mpaka kutoonyesha kabisa! Nimejarbu kuizima kwa muda na kuiwasha tena bila mafanikio! Ni smart tv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.