Habari zenu wanajamvi la biashara,
Naomba msaada wenu kwa kunielewesha ni sababu zipi zinazochangia kushuka kwa shilingi yetu na dollar kuwa juu sana kiasi kwamba mzunguko wa biashara umekuwa ni mgumu sana kutokana na kushuka kwa shiling yetu.
Dollar iko juu sana kiasi kwamba biashara zimesimama . Watu hawaleti tena bidhaa kutoka nje kisa Dollar iko juu. Leo rate iko 1945. Uwiiii wiki ijayo inaweza fika 2000.
Unajenga nyuma ya udongo kwenye renta unawek zege na nondo kubwa kwa nn nyumba isianguke tuuuu.Namaanish kuwa primary anafundishwa kiswahil akifik secondary anafundishw kwa kiingerez ww umadhan nn kitatokea hapo?think twice
IQ haipimwi hivy Mr Zero thinking.Na pia sio watanzania wote wanaijua Jamii forum.Na ogopa sana kutak kila kitu chako watu wote wakipend na kukibubali.Think twice Mr Zero brain.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.