Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

Kwa wale wanaotaka kujiajiri na wanakosa mtaji wabonyeze link hii hapa waanze kukusanya mtaji online, kujisajiri na kuanza kutengeneza pesa ni bure:

Hapa tutakudirect kwenye homepage ambayo utatakiwa kujisajiri kama member kwa kufungua akaunti yako kisha utapewa link yako utai-copy na kui-paste kwenye social networks kama fb, whatsup, twitter, blog ama website yako na kila visitor atakayetumia link yako atakuingizia $10 kwenye akaunti yako, kama una visitors wengi unaweza kuingiza kuanzia $200 au zaidi kwa siku, mie nimejisajiri juzi na napata minimum visitors 5, so nina uhakika wa kupata minimum $50 kila siku. Kama link hiyo haifunguki nitumie email kwa address hii hapa chini nitakutumia link husika.
My email address: dau_kampuni@yahoo.com

Usanii mtupu huo bro.. achana nayo fanya mambo mengine ya msingi nimeshafanya sana izo inapofika muda wa kuwithdraw eti wanakwambia this service is not available to your country
 
asante mkuu, hizi ni idea zangu kutokana na uzoefu wa kawaida tu wa mtaani na kwenye elimu. Huyo anaesema nimetafsiri nasubiri aniletee hilo andiko. Akishindwa kutuletea hapa nadhani wenye busara mtaelewa tu kwamba huyo ni mtu wa aina gani.

Wewe ni muungwana sana. Usikatishwe tamaa na hao wasiopenda ushauri kwani ushauri huo hauwahusu.
 
Miezi michache iliyopita wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wamemaliza mitihani yao ya mwisho wa mwaka. Na kati yao kuna ambao wamemaliza masomo yao ya elimu ya juu. Kwa sasa wengi wanaomaliza wanamaliza kwa ngazi ya shahada(degree). Wanafunzi wanaomaliza elimu ya juu kwa mwaka ni zaidi ya elfu arobaini(40,000). Hivyo kwa miezi miwili iliyopita tayari mtaani kumeingia watu efu arobaini waliohitimu kada mbalimbali. Kama wewe ni mmoja wao ama unaelekea kuwa mmoja wao ni bora ukasoma hapa ili kupata mwanga kidogo. Wazo kuu ulilonalo kichwani kwa sasa ni kutafuta ajira. Ndio wengi wa waliomaliza wanafikiri kutafuta ajira, sio vibaya kwani ndio ulichosomea. Kama umesomea uhandisi inabidi utafute sehemu ya kufanya huo uhandisi wako, kadhalika kwa kada nyingine. Wakati mkiwa chuoni kulikuwa na habari nyingi kuhusiana na ajira za kada uliyosomea ikiwemo upatikanaji wake na pia mishahara ya ajira hizo. Kuna baadhi ya habari ulizokuwa unasikia ni za kweli ila nyingi zilikuwa sio s
 
PESSIMISM IN MIND. Usitutishe ww, mbona mm nimeajiriwa hata graduu bado? Kama una ndugu yako kamaliza mwambie ajiajiri sio kutoa mitazamo yako ya General, Ushauri mzuri ila perspective mbaya

Ushasema wewe, wenzio wangapi mpaka leo wanahangaika? Be logical kama ur situation is different mshukuru Mola wako and let others learn from this..... and ungesoma vizuri ungeona point aliyotoa ya kuwaza kujiajiri..... #smh
 
kweli mtaani pagumu, japo nimemaliza B.Sc (ed) physics and chemistry, tempo bado halipatikani. okey, kama kuna shule inahitaji mwl wa physics and chemistry, call me 0655203053:flame:
 
Back
Top Bottom