Recent content by mjanja1

  1. M

    Ufafanuzi wa kilichotokea Uchaguzi Meya Mwanza...

    Sahihisho: habari yapaswa kuwa KAFU +CCM waibwaga CDM Nyamagana. last week RAIMWEMA liliandika..... HUKU kikiwa na mvutano wa ndani na madiwani wake wawili kiliowafuta uanachama, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakabiliwa na mtihani mzito katika kutetea nafasi Meya...
  2. M

    CCM yaibwaga CHADEMA katika Umeya jiji la Mwanza

    Sahihisho: habari yapaswa kuwa KAFU +CCM waibwaga CDM Nyamagana. last week RAIMWEMA liliandika..... HUKU kikiwa na mvutano wa ndani na madiwani wake wawili kiliowafuta uanachama, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakabiliwa na mtihani mzito katika kutetea nafasi Meya...
  3. M

    Tupia hapa: Jina la utani la mwalimu wako ulipokuwa xuli

    shilondinga teacher wa kemia. Myamulenge ticha wa history.
  4. M

    Waziri Nchimbi atoa masaa matatu kwa Meneja Tanesco Tabata na wafanyakazi wote!

    kama anaubavu aagize uchunguzi ufanyike juu ya ucheleweshaji wa kuweka luku kwa watu ambao wamelipia zaidi ya miezi 6. Na kwa nini ruku zipo za mafungu mafungu. Aulize nani amepewa tenda ya Kusambaza ruku? na nini kwa nini inachukua zaidi ya miezi sita kuweka umeme kwa mtu na...
  5. M

    Wakili maarufu wa serikali ametutoka

    Wakili maaruf sana wa serikali marehemu Bonifase Stanslaus amefaliki ghafla jana. Habari kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema alipatwa na mshituko ghafla na kufariki mara baada ya kutoka arusha kikazi. wakili Bon alikuwa ni KICHWA cha AG Chambers na naibu DPP. Yeye ndo wakil wa kesi zote...
  6. M

    Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

    ndugu zangu mnaoanzisha propaganda za chadema na rostam tujitahid kufikilia nje ya mabox ya ukada. Wanachofanya CDM ni kuchangisha hela kwa njia raisi zaidi na ya uhakika. Rostam hajachangia at any tm chadema. Na wewe unayesema tunamtumia kampuni ya rostam wewe utumii M pesa,? Na kama...
  7. M

    Tundu Lissu na Wakuu Wapya wa Wilaya

    uteuzi wa kikada unamatatizo mengi kwa leo naomba nizungumzie mafao ya makuu wa wilaya. mafao yao uitwa gratuity ambayo ni idadi ya miezi kadhaa mara mshahara wa mkuu wa wilaya husika. mishahara hii imeanishwa kwenye sheria na ipo wazi. Lakini kuna wakati mtu uteuliwa kuwa mkuuu wa wlya...
  8. M

    Huu ndiyo Mkataba wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Articles of Union)

    mkuu download attachment ya sheria ya muungano. inarudia yote yaliyosemwa katika mkataba huo kwa kiingereza na ni sehemu ya sheria za Tanzania na huko imesainiwa na speaker wa bunge. so hii document ni sahihi kabisa
  9. M

    W J Malecela kwa hili la wizi na kutokuwajibika kwa mawaziri ungekuwa upande gani?

    Brother Willy take your time to understand the legal set up and role of CAG Momentary. kwa ufupi tembelea web ya www.nao.go.tz. kazi kubwa ya CAG ni kudhibiti matumizi ya fedha za umma. Ambapo utoa kibali kwa niaba ya bunge serikali itumie fedha kama bunge lilivyopitisha.hii ndo...
  10. M

    Yawezekana Rais amevunja sheria ya Mchakato wa Katiba kwa kuwaapisha kina Baregu?

    mods tunaomba iwe sticky. Ili tujadili zaidi. Kama hatuwezi kufuata sheria je tunapata wapi uhalal wa kuwahukumu wenzetu au wenzetu mpo juu ya sheria
Back
Top Bottom